Hilo tunda linaitwa bitter melon, sio tikiti maji bali ni tango pori linalotumika kwenye juisi au saladi na chakula. ni chungu na linatumika kutibu magonjwa mengiJamani wana jamii F,nauliza better melon ni tunda gani?
mbilimbi sio bitter melon, mbilimbi ni chachu na bitter melon ni chungu, zinajulikana kama tango poriHilo linaitwa "bitter" melon sio "better". Hilo kwa kiswahili nadhani ndio tunaita mbilimbi. Unazijua mbilimbi? Ndo bitter melon hiyo sasa. Linasaidia sana kupunguza sukari mwilini. Wagonjwa was kisukari wanashauriwa kula sana hiyo bitter melon angalia pichani chini hapa l. View attachment 325355 View attachment 325355 View attachment 325355 View attachment 325355 View attachment 325355 View attachment 325355 View attachment 325356
ipo, kunywa dozi ya cloxacillinHakuna namna nyingine ya kutibu jipu bila kulitumbua?
kunywa mayai ya kwareIv tiba y tezi dume ina daw y asili? N kam ipo n ipi?? asant doctor
bitter melon - tango porihilo jipya kwangu ila nadhani ni misspellings za "water melon" hilo ni tikiti maji.
Tatizo utakuwa umeishiwa taulo la tumboni ambalo linakazi ya kumengenya na kufyonza chakula. Tafuta probiotics au maziwa mgando unywe itakusaidiaNikimaliza kula dkka 10 lazima niende chooni alf naharisha kwa mda tatizo laweza kuwa nini
ok thanksno ni
bitter melon - tango pori
Msaada dawa ya meno
Lips kuwa nyekundu husababishwa na punyeto?
Siyo kawaida mtu kupata fungus kwenye koo. Ingawa inawezekana kutokea, ila siyo jambo la kawaida. Sasa inapotokana mtu anakuja na fungus kwenye koo au mdomoni, cha kwanza kabla ya kuanza kutibu ni kuhakikisha kwamba ni fungus na pia kuangalia immunity (kinga ya mwili) ya mgonjwa husika. Mara nyingi fungus ya koo husababishwa na upungufu wa kinga ya mwili na inabidi uboreshe kinga ya mwili kwa kutibu kinachosababisha upungufu wa kinga hiyo pamoja na kutibu fungus. Usipofanya hivyo, hata ukitumia dawa ya fungus, inaweza isifanye kazi, au ikawa inajirudia rudia mara kwa mara.
wakuu, mimi naombeni msaada wa kujua kipindupindu kinaitwaje kwa lugha ya kiingereza, ninakuwaga katika wakati mgumu sana ninapokuwa ninazungumza kwa lugha hii ya malkia kisha kikifuata kipengele cha kutamka ugonjwa huo huwa ninachenka sana!!!!!!!!!!Hellow wapendwa,
Nakaribisha maswali yoyote kuhusu dawa zozote zenye active ingredients (DRUGS). Kama una maswali kuhusu matumizi yake, matumizi yake pamoja na dawa nyingine, vyakula (interactions), athari zake (side effects) au hata kama unataka kujuzwa jinsi dawa inavyofanya kazi kutibu ugonjwa!!
Karibuni sana.
A
B
C
D
E
F
Cholerawakuu, mimi naombeni msaada wa kujua kipindupindu kinaitwaje kwa lugha ya kiingereza, ninakuwaga katika wakati mgumu sana ninapokuwa ninazungumza kwa lugha hii ya malkia kisha kikifuata kipengele cha kutamka ugonjwa huo huwa ninachenka sana!!!!!!!!!!