Zogoo da khama
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 631
- 592
Hivi kuchanika kwenye sehemu kama hizo kwenye kucha inasababisha na nini? Hilo tatizo linanisumbua sana kwenye vidole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polee Sana mkuu,Pia nn sababu ya vidonda vya tumbo na tumbo kujaa gesi kwa kweli nakosa raha kama awali nilivyokua wataalamu msaada.Nikienda msalaani mashuti (hewa) na choo cha mvurugo sio cha kawaida.
Upungufu wa Vitamin na madini mwili mwako nenda kamuone Daktari akupime.Hivi kuchanika kwenye sehemu kama hizo kwenye kucha inasababisha na nini? Hilo tatizo linanisumbua sana kwenye vidoleView attachment 2374387
Kwa Ushauri wangu kwa hayo maradhi uliyo kuwa nayo utatumia dawa za hospitali sio rahisi kupona. Kwani Fangasi ya ukeni imekuwa ni sugu kutibika kw a dawa hospitali na hiyo pia PID haitibiki kw a dawa za Hospitali utatumia dawa za hospitali na sio rahisi kupona .Ukihitaji dawa nitafute mimi kw awakati wako ili niweze kukutibia upate kupona maradhi yako.Hello DR mie natatizo lakupata fangasi za ukeni mara kwa mara na nimetumia dawa tofauti inapona inarudi tena ila juzi nimekutwa na PID so dr naomba unisaidie dawa nzuri nikitumia isijirudie maana nahitaji kupata mtt mie ni mwanamke 35 yrs
Mkuu Pole sana kwa kuumwa na mkeo vidonda vya tumbo. Vidonda vya tumbo hakuna dawa ya hospitali inayoweza kuvitibu hivyo vidonda vya tumbo kwani Wale wadudu aka Bacteria wa Vidonda vya tumbo wanaoitwa kwa jina hili H-Pylori Helicobacter pylori hawawezi kufa kwa dawa za kizungu aka dawa za hospitali utahangaika sana Ma-Hospitali watakupa dawa za kila aina lakini sio rahisi kupona maradhi ya vidonda vya tumbo. Ushauri wangu jaribu upandemwingine jaribu kutumia dawa za asili ili uweze kumtibia mke wako apate kupona maradhi yake ya vidonda vya tumbo .Ukihitaji dawa za asili zakuweza kumtibu mke wako ninazo nitafute kwa wakati wako ili niweze kumtibia mke wako apate kupona amradhi yake auguwe pole shemeji yangu.Mkuu mswali au naomba ushauli kutoka!!
Mke wangu anasumbuliwa na vidonda vya tumbo sasa ni wiki 4 hadi 5 tumetumia dawa nyingi sana hakuna nafuu na Leo hii amehamka anasema kooni kunamaumivu so ndugu naomba kujua dawa gani yafaa
Je umewahi kupiga punyeto? Halafu pia punguza mawazo yana changia pia.Mm shida yangu yani kila nikitaka kufanya mapenzi uume unalala ila kama tunashikana unakua vizur shida nikitaka kuingiza
damu yako ipo chafu nenda hospitali kamuone daktari ili apate kukupa dawa .Dkt habari naomba msaada mwili wangu nkijikuna natoka vipele vdogovdog sehem zote za mwili.
Pole sana ingawa anatumia dawa lakininenda kapime haraka iwezekanavyo. Niletee mimi huyo mgonjwa waukimwi ili nipate kumtibia na apate kupona maradhi yake atatumia dawa za kufubaza Virusi vya Ukimwi, maishani mwake mwote sio rahisi kupona maradhi yake.Niletee mimi nipate kumtibia ili aweze kupona maradhi yake ya ukimwi.Habari swali ninamuuguza mgonjwa mwenye maambuzi ya virusi vya ukimwi kuna sindano alitumia kuhona vitambaa akaiweka chini ya mto kwa bahati mbaya wakati narudi nilifikisha mkono kukandamiza mto ilinikae ile sindano ikanichoma kiganjani mpaka damu kutoka na nisiku hiyo hiyo sindano hiyo ilimchoma muathirika je kunauwezekano wowote na mimi kupata maambukizi?
Mkuu utahangaika hospitali kujitibia moyo mkubwa sio rahisi kupona hakuna tiba ya hayo maradhi Ma-Hospitali. Ninakushauri jaribu kumtibia au kujitibia maradhi yako ya Moyo Mkubwa kwa dawa za asili unaweza kupona lakini sio dawa za hospitali sio rahisi kupona. Ukihitaji tiba ya maradhi yako nitafute kwa wakati wako ili niweze kukutibia upate kupona maradhi yako uguwa pole.Habari daktari,
Je ni dawa ipi ya kutibu moyo mkubwa Hadi kupona kabisa?
Je inapatikana wapi?
Kama hamna je nini USHAURI wako juu ya tatizo Hilo?
Mkuu nitafute mimi ili nipate kukutibia hayo maradhi yako mawili PID na UTI ili upate kupona.PID hiyo
Mi pia nimeteseka sn
Kila wakati UTI inajirudia
Mmeshatumia dawa gani?
Doctor kwema!Mkuu nitafute mimi ili nipate kukutibia hayo maradhi yako mawili PID na UTI ili upate kupona.