Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

Dr naomba kujua dawa ya kukuza nywele kwa mtu mwenye early baldness 26yrs old jinsia me, yenye uwezo wa ku regrow hair kwa kichwa(kipara)
 
Natumaini u mzima doctor,
Familia yangu tumeugua upele, walianza watoto ,nikawatibu wakapona, kisha ukatuanza mimi na mrs wangu, kwa sisi umegoma kupona, upele huu unawasha sana, kilicho nifanya kuomba ushauri hapa ni ,sasa upele huo umeivamia zakari yangu, umejitokeza kwenye kichwa na hautoi usaha bari unatoa majimaji, hii ni nini? Nifanyeje hapa?
 
Natumaini u mzima doctor,
Familia yangu tumeugua upele, walianza watoto ,nikawatibu wakapona, kisha ukatuanza mimi na mrs wangu, kwa sisi umegoma kupona, upele huu unawasha sana, kilicho nifanya kuomba ushauri hapa ni ,sasa upele huo umeivamia zakari yangu, umejitokeza kwenye kichwa na hautoi usaha bari unatoa majimaji, hii ni nini? Nifanyeje hapa?
Umeend hospital
 
Natumaini u mzima doctor,
Familia yangu tumeugua upele, walianza watoto ,nikawatibu wakapona, kisha ukatuanza mimi na mrs wangu, kwa sisi umegoma kupona, upele huu unawasha sana, kilicho nifanya kuomba ushauri hapa ni ,sasa upele huo umeivamia zakari yangu, umejitokeza kwenye kichwa na hautoi usaha bari unatoa majimaji, hii ni nini? Nifanyeje hapa?
Hii ni kawaida tu , hivyo vipele vitapasuka na ku kauka, kikubwa usifanye ngono hadi upone
 
Natumaini u mzima doctor,
Familia yangu tumeugua upele, walianza watoto ,nikawatibu wakapona, kisha ukatuanza mimi na mrs wangu, kwa sisi umegoma kupona, upele huu unawasha sana, kilicho nifanya kuomba ushauri hapa ni ,sasa upele huo umeivamia zakari yangu, umejitokeza kwenye kichwa na hautoi usaha bari unatoa majimaji, hii ni nini? Nifanyeje hapa?

Hiyo scabies kama sikosei
Tafuta scaboma lotion apply od -3alternate days

Lkn km una access na hosp Karibu nenda kwanza.
 
Msaada

NIKIPIGWA NA BARIDI KIDOGO TU MWILI UNATOKWA NA VIPELE( UNAVIMBA) HASA MIKONONI,NA MABEGANI, SOMETIMES HADI KWENYE MAPAJA KAMA BARIDI IKINIPIGA VIZUR

NA VIDOLE VINAPATA MAUMIVI MAKALI SANA , HALI HII IKINIKUTA HADI INAKUJA DALILI YA KI HOMA, VIDOLE VITANIUMA HADI NASHINDWA KUSHIKA VITU VIZITO HATA VYA 1KG, HASA HUU MSIMU WA BARIDI NDO NAPATA TAABU SANA. MAUMIVU YA VIDOLE HUWA NI MAKALI HADI USINGIZI UNAKATA KARIBU NUSU YA USIKU, NA VIDOLE HUVIMBA SANA.

ASUBUHI JUA LIKITOKA HADI MIDA YA MCHANA NAPONA KABISAAA,

NILIENDA HOSPITALI WAKANIAMBIA NI ARTHRITIS WAKANIPA DAWA, NIMEZITUMIA HAKUNA HATA MADALIKO YEYOTE, NILIRUDI HADI WAKANIZOEA IKAWA KILA SIKU NAKULA DAWA TU NAKUBADILISHIWA DOZI, MWISHO NIKAACHANA NAZO

KWASASA NIMEACHA TU NIMEBAKI NA MAIMIVU YANGU MWILINI HASA MSIMU HUU WA BARIDI

DAWA ASILIA NIMETUMIA SANA HADI NIKAWA MTEJA WAO, NIMEACHA ZOTE

MSAADA HATA WA MAWAZO TU
 
Naomba unisaidie degedege inamtesa mwanangu jaman nimehangaika sana ana miaka mitatu tu
 
Msaada

NIKIPIGWA NA BARIDI KIDOGO TU MWILI UNATOKWA NA VIPELE( UNAVIMBA) HASA MIKONONI,NA MABEGANI, SOMETIMES HADI KWENYE MAPAJA KAMA BARIDI IKINIPIGA VIZUR

NA VIDOLE VINAPATA MAUMIVI MAKALI SANA , HALI HII IKINIKUTA HADI INAKUJA DALILI YA KI HOMA, VIDOLE VITANIUMA HADI NASHINDWA KUSHIKA VITU VIZITO HATA VYA 1KG, HASA HUU MSIMU WA BARIDI NDO NAPATA TAABU SANA. MAUMIVU YA VIDOLE HUWA NI MAKALI HADI USINGIZI UNAKATA KARIBU NUSU YA USIKU, NA VIDOLE HUVIMBA SANA.

ASUBUHI JUA LIKITOKA HADI MIDA YA MCHANA NAPONA KABISAAA,

NILIENDA HOSPITALI WAKANIAMBIA NI ARTHRITIS WAKANIPA DAWA, NIMEZITUMIA HAKUNA HATA MADALIKO YEYOTE, NILIRUDI HADI WAKANIZOEA IKAWA KILA SIKU NAKULA DAWA TU NAKUBADILISHIWA DOZI, MWISHO NIKAACHANA NAZO

KWASASA NIMEACHA TU NIMEBAKI NA MAIMIVU YANGU MWILINI HASA MSIMU HUU WA BARIDI

DAWA ASILIA NIMETUMIA SANA HADI NIKAWA MTEJA WAO, NIMEACHA ZOTE

MSAADA HATA WA MAWAZO TU
Chimba mizizi ya mlundalunda,chemsha na uitumie kwa kunywa asubuhi,mchana na jioni.Utapona kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wakuu Mimi nasumbuliwa na tumbo Ni miezi miwili na nilienda hospitali lakini bado nasumbuliwa na tumbo sijajua labda Ni usugu wa magonjwa au Ni kawaida dalili nazo pata tumbo kuwa na joto hata nikugusa nahisi joto limeongezeka tumboni au hatanisipo gusa hisia zinanijulisha tumbo kuongezeka joto na maumivu pia choo kidogo kinaweza kuwa kigumu au kawaida pia tumbo kuunguruma...Naombeni msaada kwa kupitia ushauri wenu
 
Nasumbuliwa na tatizo la ngozi kuwasha kuacha viupele na mwili kuvimbaView attachment 2739166View attachment 2739167View attachment 2739168
IMG_20230830_195656_632.jpg
 
Habari zenu wakuu Mimi nasumbuliwa na tumbo Ni miezi miwili na nilienda hospitali lakini bado nasumbuliwa na tumbo sijajua labda Ni usugu wa magonjwa au Ni kawaida dalili nazo pata tumbo kuwa na joto hata nikugusa nahisi joto limeongezeka tumboni au hatanisipo gusa hisia zinanijulisha tumbo kuongezeka joto na maumivu pia choo kidogo kinaweza kuwa kigumu au kawaida pia tumbo kuunguruma...Naombeni msaada kwa kupitia ushauri wenu
Mmea wa mjafari ni kiboko ya tatizo hilo.Chimba mizizi yake na uchemshe ,tumia nusu glass ya robo mara 3 kwa kutwa.Ama kama unaweza kupata unga wa mizizi yake ulioandaliwa vyema,unatumia kijiko kidogo kwenye maji moto kutwa mara 3.Fanya hivyo kwa siku 7- 24.
 
Habari zenu wakuu, naomba msaada nimekuwa nikisumbuliwa na vipele vidogo vidogo katika uume wangu kwa mda ila nilikuwa napata matibabu ya kawaida tu sasa mwezi uliopita hali ilikuwa tofauti sana ikanibidi niende hospital ya kwanza wakacheck uti na kipimo cha vdrl ila vdrl ikasoma negative nikakutwa na uti nakachomwa sindano 5 wakasema itasaidia pia kukausha hivyo vipele kwel viliisha ila kama week tena vikaanza upya nikaenda palestina wakacheck damu kubwa ,vdrl na kipimo cha fullblood picture ila hakuna kilichoonekana ila doctor akasema yawezekana wart akanipa dawa inaitwa acyclovir ya kunywa na kupaka kwel vikatulia kama week 2 tena mbele vimeanza ila sasa kwenye uume kuna dalili nyingn kuna anza kuwasha kwenye ngozi alaf panaleta kama kidonda kama sehem mbili na vile vipele vinatoka sehem ya niliposhonwa nyuzi kingine korodani moja imepanda juu alafu kama inakauvimbe ila ukigusa kinapotea na maumivu pia mda mwengin nikikojoa maumivu nayasikia kwenye kichwa cha uume alafu pumbu zinakuwa zinanywea sana ila nikioga maji baridi zinajaa na hivyo vipele huwa vikianza kutoka vinachoma nakuwasha alaf vinatulia naombeni msaada!
 
Habari Mkuu
Mi naomba uzoefu wako kuhusu usalama wa hizi zinazoitwa SUPPLEMENTS [Tiba Lishe]. Hususani hizi za nje ya nchi zinazotangazwa kwenye social media k.v. Instagram.

Kuna hii tibalishe naiona sana Instagram inaitwa VISIORAX. Hii imeshaingia Bongo na unatumiwa popote ulipo baada ya kulipia.

Nimejikuta nimeshawishika kutumia hii supplement kwa ajili ya macho ila wasi wasi wangu ni usalama, haina madhara?

Halafu ni kama vile wameblock comments, huezi kuona maoni ya watu kwenye Instagram ila tu kwenye website yao ambako nadhan wamechagua zile comments za kusifu tu.

Kwako Mkuu kwa ufafanuzi wako.
 
Back
Top Bottom