Hello DR mie natatizo lakupata fangasi za ukeni mara kwa mara na nimetumia dawa tofauti inapona inarudi tena ila juzi nimekutwa na PID so dr naomba unisaidie dawa nzuri nikitumia isijirudie maana nahitaji kupata mtt mie ni mwanamke 35 yrs
Kwa Ushauri wangu kwa hayo maradhi uliyo kuwa nayo utatumia dawa za hospitali sio rahisi kupona. Kwani Fangasi ya ukeni imekuwa ni sugu kutibika kw a dawa hospitali na hiyo pia PID haitibiki kw a dawa za Hospitali utatumia dawa za hospitali na sio rahisi kupona .Ukihitaji dawa nitafute mimi kw awakati wako ili niweze kukutibia upate kupona maradhi yako.
CHANZO CHA KUUMWA AINA ZOTE ZA FUNGUS NA UTI.
Nimesikiliza audio clips zenu na kusoma hoja zenu za midaharo zilizo kwenye mitandao ya kijamii zinazojadili sababu za kuumwa fungus na UTI za aina mbalimbali. Kutokana na hoja zinazopotosha members wa mitandao ya kijamii nimeamua kuwaelimisha sababu zinazosababisha kuumwa fungus za aina zote pamoja na kuumwa UTI za aina zote.
Zifuatazo ni sababu zinazosababisha kuumwa fungus za aina zote na UTI za aina zote.
1) MAAMBUKIZI
a)Maambukizi yanayotokana na kuchangia kushiriki choo za umma husababusha fungus na UTI
b) Maambukizi yanayosababishwa kwa kuvaliana nguo husababisha fungus za aina zote na UTI za aina zote
c) Maambukizi ya ngono zembe isiyosalama husababisha fungus za aina zote na UTI za aina zote.
2) UCHAFU
Uchafu upo wa aina mbalimbali ambao unasababisha fungus za aina mbalimbali na UTI za aina mbalimbali.
a)Uchafu wa nguo husababisha fungus za aina mbalimbali na UTI za aina mbalimbali.
b)Uchafu wa mwili unaotokana na kutooga au uchafu unaotokana na kutumia aina nyingi za vipodozi husababisha fungus za aina mbalimbali na UTI za aina mbalimbali.
UPUNGUFU WA VIRUTUBISHO MWILINI.
Karibu asilimia hamsini ya wagonjwa wote wa fungus za aina zote na UTI za aina zote zimesababishwa na upungufu wa Vitamin C na E.
Wapo wagonjwa wengi sana wenye fungus za aina mbalimbali na UTI za aina mbalimbali ambao ni wasafi sana kiafya na wanajilinda vizuri dhidi ya Maambukizi ya magonjwa ya aina mbalimbali yakiwemo ya fungus na UTI lakini hawakwepi kuteswa na fungus za aina mbalimbali pamoja na UTI za aina mbalimbali.
Sababu kubwa ya kuteswa kwao na maumivu ya magonjwa ya fungus na UTI ni upungufu wa Vitamin C na E.
Kila binadamu anashauriwa kula matunda yenye Vitamin C na E kila mlo wa kila siku za maisha yake. Yapo matunda mengi yenye Vitamin C na E kama vile mapapai, machungwa, maembe, mananasi na kazalika.