Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

Nina maumivu ya tumbo haswa nyakati za usiku, linavuta chini ya kifua, siharishi.....
 
Nikimaliza kula dkka 10 lazima niende chooni alf naharisha kwa mda tatizo laweza kuwa nini
Hali hio unayo kwa muda gani?Je kuna milo maalum ambayo ukila unahisi inachochea hali hio?
 
Mkuu,nasumbuliwa na maumivu ya shingo na sababu siyo kulala vibaya, nikama wiki mbili hiv cjui sababu ni nn? Na vip kuhusu matibabu yake?
 
Naomba kuuliza nini dawa ya kukoroma maana Naambiwa nililala huwa nakoroma sana
 
Habari mkuu naomba kuuliza, ninawezaje kuongeza urefu , ukubwa na uimara wa penis yangu hadi inchi 6.5 maana penis fupi inch 4.0, sipat raha kabisa ya tendo la ndoa, tafadhali naomba msaada wowote hata ushauri au solution ntashukur sana, wahusika weny elimu kuhus mambo ya uzazi nisaidien niko Hoi jamaniii
 
Hello Doc, nnaomba unisaidie kuelewa maana nimekuwa na muwasho sehem za siri kwa kipindi kirefu sana! Mwanzoni nikiwa bado kijana mdogo nilichukulia kawaida na kuna wakati nilipewa dawa ya vidonge na kupaka...ilikuwa mwaka 2006 tatizo lilipungua, shida imekuwa kubwa baada ya kuingia kwenye ndoa...yaani nikikutana na wife baada ya tendo nafululiza kuwashwa kusiko kwa kawaida hadi natoa vidonda. Juzi juzi nimeenda kailuki nimepewa za kupaka na kumeza lakini wapi! Nikitumia tube ya sonaderm -gm inatulia lakini ndio hivyo inataka nitumie siku zote pasipo kukata!
 
Nasumbuka Na Vidonda Vya Tumbo Kwa Muda Mrefu Saana!! Nimetumia Dawa Nyingi Mno Za Hospital Na Tiba Mbadala, Lkn Uwa Napata UNAFUU Kwa Muda, Baadae Hali Ya Maumivu INAREJEA Upya!!! Na Sasa Nahisi Kama Vidonda Viko Ktk Njia Ya Chakula Na Kooni!!! Je, Nifanye Nini Mtaalamu!!!?
 
Kwa mwanamke kuanzia miaka 45na kuendelea uzalishwaji wa hormone ya oestrogen ambayo inasaidia kuongeza hamu ya tendo la ndoa inapungua kama si kuacha kabisa, hivyo tatizo la mkeo ni la kawaida, waone wataalam ambao watamsaidia kumaliza tatizo na kurudia katika hali yake mkuu,
Sawa Mtaalamu!! Sasa Ikiwa Tatizo Lake Ni La Kihomoni!! Je, Hao Wataalam Watamshauri Kufanya Nini!!!!???
 
mgonjwa ni ME au KE?
ametumia dawa zipi hadi sasa?
na je huwa anamaliza dozi?
unauhakika ni UTI? amepima?

Ciprofloxacin ametumia?
Cefixime (taxim-o au topcef) itamfanya asahau.kabisa kama alishawah kusumbuliwa na uti trust me
 
Cefixime (taxim-o au topcef) itamfanya asahau.kabisa kama alishawah kusumbuliwa na uti trust me
tatizo mgonjwa hatoi maelezo ya kujitosheleza, but any way ngoja akirudi.
 
Back
Top Bottom