Dr
Mwanangu ana miaka 4 hv na miez 7,
Majuzj aliugua ikawa ikfka jion anachemka na analalamika tumbo,
tukampeleka hspital alvyopimwa haja, na mkojo akakutwa ana wadudu tumbon waliwataja jina sikmbuk vzur jina la hao bakteria,
akapewa fragil na akaandikiwa sindano 5 amemalza,
alkuwa analalamika tumbo saiz haihs maumivu yyte ila ikifka jion anachemka sana ukmuulza nn knauma anasema hamna kitu. akipewa panadol anarecover baada ya muda tena usku anachemka
kapimwa malaria hana
Msaada wako Dr atumie dawa gan hapa maana duh!! huu mwendo panado kila muda sio inshu