Nakemea mavazi ya kinazi aliyovaa Mr Blue kwenye video ya Mawe

Nakemea mavazi ya kinazi aliyovaa Mr Blue kwenye video ya Mawe

Nazi praising ni offensive kwa nchi za magharibi. Sisi wengine tunajipendekeza tu.

Kibongo bongo we dont n shouldnt giv a shit!

Maana mtu mweusi alichukuliwa/ anachukuliwa inferior sio tu na Hitler bali hata na hao waliochakatwa na kuuwawa nae.

Kwa hiyo mwisho wa siku, wazungu, waarabu, waisrael, wa-asia, wooote walituchukulia hivyo hivyo tu kama hitler.
Sasa kwa nini tuomboleze kwa ajili ya watu ambao walituona tu sawa na Nazi walivyotuona.

Kwetu sisi dunia nzima haikuwa tofauti na NAZI.

Sent using LF Electromagnetic Waves
Ukweli mchungu huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila Hitler hakuwa mtu mzuri hapa chini ni maiti zilizokutwa kwenye concentration camp ya dachau baada ya askari wa marekani kuivamia wakati wa WW2
downloadfile.jpg

mass_grave1-1024x959.jpg
 
We kweli boga la kiangazi
Hitlet Alisema negro(mtu mweusi) anapaswa kuendeshwa kwa mjeledi,pia kwenye mashindano ya Olympic berlin 1936,alisema negro hawezi shinda mashindano akipinga ushindi wa mwafrika alieshinda kwenye riadha,iwapo Hitler angefanikiwa kuishinda ww2 angeingia mpaka Africa na tungekiona cha moto,hujui historia ndio maana unamuona Hitler mtu wa maana
_107053666_74095.jpg


Hapa unaona mtu mweusi akiwa miongoni mwa wafungwa concentration camp
 
Ulishawahi kusikia kuhusu Segregation laws za USA? Ulishawahi kusikia kuhusu all white policy? USA walikuwa hawaruhusu ambaye siyo Mzungu kuhamia, wamebadilisha miaka ya 60’.
Mpaka miaka ya 60’ USA kuna States ilikuwa hairuhusiwi mtoto wa Kizungu kusoma Darasa moja na kujichanganya na race nyingine, kuoa/olewa ilikuwa illegal, hata kuruhusiwa kupiga kura Blacks wameanza kupiga kura miaka ya 60’ USA.

Kanada Quebec ilitawaliwa na Ufaransa na hawskuruhusu yoyote ambaye siyo French speaking kuhamia.
It take time sheria kushika mashiko
 
Habari ya asubuhi wanajamii.

Kuna mambo mengi sana ya kuiga hapa duniani lakini kuna mengine siyo ya kuiga kabisa kama jambo ambalo amefanya Mr Blue kuvaa mavazi ya kinazi kwenye video ya music inayokwenda kwa jina MAWE akiwa kashirikishwa yeye pamoja na RayVanny na msanii wa kitaa ambaye [kitaa kinamwamini kama kiongozi wa Dini] Nyandu Tozi.

Na yeye sio wa kwanza kwa vijana wa kitanzania kuonyesha kufurahishwa sana na Adolf Hilter bila kujua zaidi juu ya mtu huyu.

Kwanza kabla ya yote yapaswa kujua ya kwamba NAZI walikuwa watu walioamini katika falsafa ya kutokuwepo usawa baina ya binadamu. Waliamini binadamu hatujaumbwa sawa na muumba, waliona baadhi ya binadamu ni bora kuliko wengine hivyo binadamu walio bora ndio wapate malazi malezi bora pasipo kujali binadamu wa mataifa mengine.

Katika mpangilio wao wa ubora wa binadamu waliona wazungu wenye nywele blonde, warefu wenye asili ya Aryan ndio bora wakifuatiwa na wazungu wengine huku watu wa mwisho kwa ubora wakiwa ni Waafrika, Wahindi na Waisrael inasikitisha kuona msanii mkubwa kuvaa mavazi ya watu hawa.

Mbali na sera hizo za kibaguzi za NAZI jambo lingine kubwa la kuzingatia ni kiongozi wao mkatili Adolf Hilter. Ipo wazi endapo nchi ikiongozwa na kiongozi katili basi na nchi inakuwa katili kwa raia waishio ndani yake.

Huyu dubwana Adolf Hilter alikosa kabisa heshima kwa binadamu wengine wenye asili tofauti na Germany aliona binadamu wengine ni kama sisimizi ambapo angeweza kuwa flush mara moja kwenye uso wadunia.

Mtu kama huyu sio wa kuigwa wala kushabikiwa kabisa kwani kila mmoja anajua ambavyo anajisikia vibaya akidharauliwa sasa huyu anakunyima na haki ya kuishi kabisa ni uovu kiasi gani.

Hata hivyo yeye mwenyewe hakuwa pure Aryan lakini bado akasababisha uharibifu mkubwa (kama sio ukichaa ni nini sasa)

WATU WA KUBEBA LAWAMA
Designer wa mavazi katika shooting hiyo yawezekana mr blue siye aliyechagua hayo mavazi bali alivalishwa na mshauri wa mavazi. Na kutokana na ujinga wao kuhusu historia wakajikuta wanatenda jambo ambolo limeniudhi sana.

Yapaswa kutokushadadia jambo bila kufanya uchunguzi wa kutosha kuepuka fedhea kama hizi. Ona sasa Mr Blue anaonekana vibaya.

Mwenye wimbo (NYANDU TOZI). Hii ni ngoma kali ambapo ulikuwa unamrudisha tena Nyandu kwenye charti ilibidi amake sure kila jambo linaenda sawa. Sasa ona na yeye anaonekana vibaya kwa kuruhusu mavazi ya Mr Blue kupoteza dira kabisa ya ngoma yake.

Na sidhani kama stesheni kubwa zinazojielewa zinawezaa kuweka uchafu wa fikra katika mavazi Mr Blue. Hii ngoma itaishia hapa tuu nchini na sidhani kama hilo ndio lilikuwa wazo la bwana Nyandu MAKO kweli kweli.

BASATA hawa naona wamekalia kuzuia maungo ya kike tu yasionekane mambo ya msingi kama kuchafuliwa kwa picha mgando na mavazi kuashiria UNAZI wapo kimya hata hawaelewi majukumu yao yapaswa wapigwe MAWE. Hizi ndio ilikuwa pointi ya kuchukua kuonyesha ukomavu wao katika kulea wasanii wetu.

Ona sasa na wao wanakuwa na makosa, BASATA yapaswa kustopisha mara moja video ya wimbo huu.

WANA WA ISRAELI
Maskini namwonea huruma Mr Blue wana wa vita wakiamua kumshukia, kutokana na ujinga wake. Watu wengi sana walikuwa wahanga wa sera za kinazi amboko Israel walipoteza ndugu zao yapata million sita huku kwa ujumla vita vilivyosababishwa na huyo dubwana Hilter vikileta jumla ya vifo million arobaini.

Usione hizi number za vifo ni rahisi kuzichapa na kuzitamka machungu yake hayaelezeki ni machozi kiasi gani wamelia watoto ambao walipoteza wazazi wao kaka zao dada zao katika vita vile ? Ni huzuni kiasi gani waliyopata wahanga wa sera hizo kipindi hicho.

Tuache ujinga wa kushabikia mambo pasipo kujua undani wake.
Weka picha ya mavazi wengine hatujui mavazi ya nazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ya asubuhi wanajamii.

Kuna mambo mengi sana ya kuiga hapa duniani lakini kuna mengine siyo ya kuiga kabisa kama jambo ambalo amefanya Mr Blue kuvaa mavazi ya kinazi kwenye video ya music inayokwenda kwa jina MAWE akiwa kashirikishwa yeye pamoja na RayVanny na msanii wa kitaa ambaye [kitaa kinamwamini kama kiongozi wa Dini] Nyandu Tozi.

Na yeye sio wa kwanza kwa vijana wa kitanzania kuonyesha kufurahishwa sana na Adolf Hilter bila kujua zaidi juu ya mtu huyu.

Kwanza kabla ya yote yapaswa kujua ya kwamba NAZI walikuwa watu walioamini katika falsafa ya kutokuwepo usawa baina ya binadamu. Waliamini binadamu hatujaumbwa sawa na muumba, waliona baadhi ya binadamu ni bora kuliko wengine hivyo binadamu walio bora ndio wapate malazi malezi bora pasipo kujali binadamu wa mataifa mengine.

Katika mpangilio wao wa ubora wa binadamu waliona wazungu wenye nywele blonde, warefu wenye asili ya Aryan ndio bora wakifuatiwa na wazungu wengine huku watu wa mwisho kwa ubora wakiwa ni Waafrika, Wahindi na Waisrael inasikitisha kuona msanii mkubwa kuvaa mavazi ya watu hawa.

Mbali na sera hizo za kibaguzi za NAZI jambo lingine kubwa la kuzingatia ni kiongozi wao mkatili Adolf Hilter. Ipo wazi endapo nchi ikiongozwa na kiongozi katili basi na nchi inakuwa katili kwa raia waishio ndani yake.

Huyu dubwana Adolf Hilter alikosa kabisa heshima kwa binadamu wengine wenye asili tofauti na Germany aliona binadamu wengine ni kama sisimizi ambapo angeweza kuwa flush mara moja kwenye uso wadunia.

Mtu kama huyu sio wa kuigwa wala kushabikiwa kabisa kwani kila mmoja anajua ambavyo anajisikia vibaya akidharauliwa sasa huyu anakunyima na haki ya kuishi kabisa ni uovu kiasi gani.

Hata hivyo yeye mwenyewe hakuwa pure Aryan lakini bado akasababisha uharibifu mkubwa (kama sio ukichaa ni nini sasa)

WATU WA KUBEBA LAWAMA
Designer wa mavazi katika shooting hiyo yawezekana mr blue siye aliyechagua hayo mavazi bali alivalishwa na mshauri wa mavazi. Na kutokana na ujinga wao kuhusu historia wakajikuta wanatenda jambo ambolo limeniudhi sana.

Yapaswa kutokushadadia jambo bila kufanya uchunguzi wa kutosha kuepuka fedhea kama hizi. Ona sasa Mr Blue anaonekana vibaya.

Mwenye wimbo (NYANDU TOZI). Hii ni ngoma kali ambapo ulikuwa unamrudisha tena Nyandu kwenye charti ilibidi amake sure kila jambo linaenda sawa. Sasa ona na yeye anaonekana vibaya kwa kuruhusu mavazi ya Mr Blue kupoteza dira kabisa ya ngoma yake.

Na sidhani kama stesheni kubwa zinazojielewa zinawezaa kuweka uchafu wa fikra katika mavazi Mr Blue. Hii ngoma itaishia hapa tuu nchini na sidhani kama hilo ndio lilikuwa wazo la bwana Nyandu MAKO kweli kweli.

BASATA hawa naona wamekalia kuzuia maungo ya kike tu yasionekane mambo ya msingi kama kuchafuliwa kwa picha mgando na mavazi kuashiria UNAZI wapo kimya hata hawaelewi majukumu yao yapaswa wapigwe MAWE. Hizi ndio ilikuwa pointi ya kuchukua kuonyesha ukomavu wao katika kulea wasanii wetu.

Ona sasa na wao wanakuwa na makosa, BASATA yapaswa kustopisha mara moja video ya wimbo huu.

WANA WA ISRAELI
Maskini namwonea huruma Mr Blue wana wa vita wakiamua kumshukia, kutokana na ujinga wake. Watu wengi sana walikuwa wahanga wa sera za kinazi amboko Israel walipoteza ndugu zao yapata million sita huku kwa ujumla vita vilivyosababishwa na huyo dubwana Hilter vikileta jumla ya vifo million arobaini.

Usione hizi number za vifo ni rahisi kuzichapa na kuzitamka machungu yake hayaelezeki ni machozi kiasi gani wamelia watoto ambao walipoteza wazazi wao kaka zao dada zao katika vita vile ? Ni huzuni kiasi gani waliyopata wahanga wa sera hizo kipindi hicho.

Tuache ujinga wa kushabikia mambo pasipo kujua undani wake.
Una mlaumu bure huyu mvaa hereni hawezi kuwa nazi
Nazi ni jamii ya kizazi chenye akili huwezi vaa hereni mwanaume ukawa nazi wala kufananishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ya asubuhi wanajamii.

Kuna mambo mengi sana ya kuiga hapa duniani lakini kuna mengine siyo ya kuiga kabisa kama jambo ambalo amefanya Mr Blue kuvaa mavazi ya kinazi kwenye video ya music inayokwenda kwa jina MAWE akiwa kashirikishwa yeye pamoja na RayVanny na msanii wa kitaa ambaye [kitaa kinamwamini kama kiongozi wa Dini] Nyandu Tozi.

Na yeye sio wa kwanza kwa vijana wa kitanzania kuonyesha kufurahishwa sana na Adolf Hilter bila kujua zaidi juu ya mtu huyu.

Kwanza kabla ya yote yapaswa kujua ya kwamba NAZI walikuwa watu walioamini katika falsafa ya kutokuwepo usawa baina ya binadamu. Waliamini binadamu hatujaumbwa sawa na muumba, waliona baadhi ya binadamu ni bora kuliko wengine hivyo binadamu walio bora ndio wapate malazi malezi bora pasipo kujali binadamu wa mataifa mengine.

Katika mpangilio wao wa ubora wa binadamu waliona wazungu wenye nywele blonde, warefu wenye asili ya Aryan ndio bora wakifuatiwa na wazungu wengine huku watu wa mwisho kwa ubora wakiwa ni Waafrika, Wahindi na Waisrael inasikitisha kuona msanii mkubwa kuvaa mavazi ya watu hawa.

Mbali na sera hizo za kibaguzi za NAZI jambo lingine kubwa la kuzingatia ni kiongozi wao mkatili Adolf Hilter. Ipo wazi endapo nchi ikiongozwa na kiongozi katili basi na nchi inakuwa katili kwa raia waishio ndani yake.

Huyu dubwana Adolf Hilter alikosa kabisa heshima kwa binadamu wengine wenye asili tofauti na Germany aliona binadamu wengine ni kama sisimizi ambapo angeweza kuwa flush mara moja kwenye uso wadunia.

Mtu kama huyu sio wa kuigwa wala kushabikiwa kabisa kwani kila mmoja anajua ambavyo anajisikia vibaya akidharauliwa sasa huyu anakunyima na haki ya kuishi kabisa ni uovu kiasi gani.

Hata hivyo yeye mwenyewe hakuwa pure Aryan lakini bado akasababisha uharibifu mkubwa (kama sio ukichaa ni nini sasa)

WATU WA KUBEBA LAWAMA
Designer wa mavazi katika shooting hiyo yawezekana mr blue siye aliyechagua hayo mavazi bali alivalishwa na mshauri wa mavazi. Na kutokana na ujinga wao kuhusu historia wakajikuta wanatenda jambo ambolo limeniudhi sana.

Yapaswa kutokushadadia jambo bila kufanya uchunguzi wa kutosha kuepuka fedhea kama hizi. Ona sasa Mr Blue anaonekana vibaya.

Mwenye wimbo (NYANDU TOZI). Hii ni ngoma kali ambapo ulikuwa unamrudisha tena Nyandu kwenye charti ilibidi amake sure kila jambo linaenda sawa. Sasa ona na yeye anaonekana vibaya kwa kuruhusu mavazi ya Mr Blue kupoteza dira kabisa ya ngoma yake.

Na sidhani kama stesheni kubwa zinazojielewa zinawezaa kuweka uchafu wa fikra katika mavazi Mr Blue. Hii ngoma itaishia hapa tuu nchini na sidhani kama hilo ndio lilikuwa wazo la bwana Nyandu MAKO kweli kweli.

BASATA hawa naona wamekalia kuzuia maungo ya kike tu yasionekane mambo ya msingi kama kuchafuliwa kwa picha mgando na mavazi kuashiria UNAZI wapo kimya hata hawaelewi majukumu yao yapaswa wapigwe MAWE. Hizi ndio ilikuwa pointi ya kuchukua kuonyesha ukomavu wao katika kulea wasanii wetu.

Ona sasa na wao wanakuwa na makosa, BASATA yapaswa kustopisha mara moja video ya wimbo huu.

WANA WA ISRAELI
Maskini namwonea huruma Mr Blue wana wa vita wakiamua kumshukia, kutokana na ujinga wake. Watu wengi sana walikuwa wahanga wa sera za kinazi amboko Israel walipoteza ndugu zao yapata million sita huku kwa ujumla vita vilivyosababishwa na huyo dubwana Hilter vikileta jumla ya vifo million arobaini.

Usione hizi number za vifo ni rahisi kuzichapa na kuzitamka machungu yake hayaelezeki ni machozi kiasi gani wamelia watoto ambao walipoteza wazazi wao kaka zao dada zao katika vita vile ? Ni huzuni kiasi gani waliyopata wahanga wa sera hizo kipindi hicho.

Tuache ujinga wa kushabikia mambo pasipo kujua undani wake.
Pia fahamu Nazi ndio wamefanya Dunia iende kasi hivi ilivyo leo bila wao bado tungekuwa mwaka 750

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Adolf Hitler hakuwahi kutarget Afrika, na wala katika sera zao Afrika yetu haimo, yeye alikuwa anawapambania watu wake huko Ulaya, sasa wewe magomvi ya watu wengine yanakuhusu nini? Waachie wenyewe Wazungu na Wayahudi walumbane, ugomvi wao unatoka mbali na una historia ndefu.
Kwa taarifa yako tu, Wayahudi walifukuzwa Uingereza, Uispania, Ufaransa na Ulaya nzima Wayahudi walikuwa ni maadui, kwanza Uingereza na Ufaransa walikuwa ni second class citizen.

Mambo ya nazism sisi hayatuhusu, isitoshe usichokijua labda A.Hitler alikuwa ana sapoti kubwa ya English monarchy, wote ni nazi.

Malkia wa England na Adolf Hitler
View attachment 1289557


English monarchy Malkia Elizabeti akiwa mtoto wakipiga nazi salute.

View attachment 1289560
Huyo hapo Malkia wenu wa English commonwealth akisalute Adolf Hitler!

View attachment 1289564
Kabisa
Hitler na akili zake asingeumiza kichwa sababu ya Afrika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama thread imekuzidi uwezo unaachana nayo mbona kuna thread nyingi tu za saizi yako kama ile ya kula tunda kimasihara
😂😂😂Nmecheka sana ,Hii ni fedheha kubwa mwana Jf kuuliza nazi ni nini???😂😂😂
sema jamaa yuko jf kitambo sidhani kama hajui labda tu alitaka aandike NAZI
 
Back
Top Bottom