Nakemea mavazi ya kinazi aliyovaa Mr Blue kwenye video ya Mawe

Nakemea mavazi ya kinazi aliyovaa Mr Blue kwenye video ya Mawe

Ina bidi kuwa concern pale haki za kuzaliwa za binadamu zinapovunjwa.
Sasa unafikiri nani ataheshimu jamii yako kama nayo haieshimu jamii nyingine
Point yangu ni kwamba,
mbona tunaenzi tamaduni za watu wengine ambao pia nao walivunja hizo haki zetu za kuzaliwa za kibinaadamu. Tena hao 'tuliowasamehe' ndio waliozivunja moja kwa moja katika jamii zetu, katika ardhi yetu.
Ila aliyevunja kwa wengine ndio tuwe concerned?

Sent using LF Electromagnetic Waves
 
mbona walimshindwa JOSEF MENGELE!?.. Au hili jina jipya kwako!?..

usikariri!!..
Siwezi kushangaa kukimbia kukamatwa kwa huyu mendele wako kwa sababu watu wa kaliba hii huwa hawataki kuwajibika. Hata hivyo kifo cha maji si mchezo. Jifunze kufurahia wanaume waliokubali kuwajibika acha kufwataa mende mende men
 
Siwezi kushangaa kukimbia kukamatwa kwa huyu mendele wako kwa sababu watu wa kaliba hii huwa hawataki kuwajibika. Hata hivyo kifo cha maji si mchezo. Jifunze kufurahia wanaume waliokubali kuwajibika acha kufwataa mende mende men
soo pathetic!..

Good bye!.
 
Mtoa mada itakuwa amepoteza uwezo wa kufikiri..msameheni bure
Hitler alifanya lipi baya kwa waafrika?
Waafrika wangapi waliteseka na hata kupoteza maisha kipindi cha utumwa amerika na ule wa waarabu?
mara ngapi waafrika wanabaguliwa hata leo ila bado unaleta chuki zako kwa Hitler ambaye hana historia dhidi ya Afrika
Ishu ya Adolf Hitler na Wayahudi kuivalia njuga nachelea kusema kuwa ni kujipendekeza tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yaani mleta mada anaexpress issue as if kila mmoja kakasirishwa na hiyo video, acha ujinga sio kila kinachokuudhi wewe basi kinaudhi kila mtu.
 
Jamaa ana ugumu wa kuelewa.. nimefuatilia comment zako ume-muelewesha vya kutosha tu but still ana bishana tu bila hoja za msingi
Ni lazima kwanza utambue hicho kitabu kiliandikwa lini, kipindi hicho Wazungu wote walikuwa wanaamini hiyo, na ndo maana USA kulikuwa na segregation laws, USA ilikuwa hairuhusiwi kisheria Mtu mweusi kuoa/olewa na aryan Mzungu, na siyo USA tu, Ulaya yote ilikuwa hivyo.

Unafikiri apartheid maana yake nini?

Adolf Hitler hakuanzisha Ubaguzi au superiority ya Wazungu, ilikuwepo kabla ya Hitler, na ndo maana nikakwambia USA, Australia, Kanada na New Zealand na Paraguay, Chile, Argentina ilikuwa hauruhusiwi kisheria kuhamia huko kama wewe siyo ,,aryan stock”, yaani asili ya Ulaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo kila mwenye baya, hukosa mema yake pia...

Hayo mambo ya ki-nazi ni vile tu meamninishwa yale maovu yao tu, bila kutajiwa mazuri yao pia...

Ni kama vile first world countries wanavyoaminisha ulimwgu kwamba Africa is a Dark continent...



Cc: mahondaw
 
Nimefurahi kumuona Mr Blue na Rayvanny kwenye ngoma moja japo Clouds hawataicheza hiyo ngoma.

Collabo inayofuata ni Ali Kiba na Mbosso
 
jamaa linaishi kwa shemeji yake kazi kuleta ujuaji tu hapa
Jiangalie sana mengele angefurahi sana kukufanyia project. Kwa haraka haraka nazani angenyofoa kichwa chako akachomeka kwa sokwee.
 
Back
Top Bottom