The Dark Father
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 1,144
- 1,408
Point yangu ni kwamba,Ina bidi kuwa concern pale haki za kuzaliwa za binadamu zinapovunjwa.
Sasa unafikiri nani ataheshimu jamii yako kama nayo haieshimu jamii nyingine
Hata utandawazi ni sera safi za Kinazi bila Wanazi Dunia isingefika hapa ilipo.Shida ya nyinyi watu wawili sijui kama mna idea ya kwamba Dunia sasa hivi ni kijiji. Hivi mshawahi kusikia juu ya utandawazi???
Duuuh kweli wewe impongoHata utandawazi ni sera safi za Kinazi bila Wanazi Dunia isingefika hapa ilipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
mbona walimshindwa JOSEF MENGELE!?.. Au hili jina jipya kwako!?..Jihadhari usije kunjwa ile mbuzi kagoma,
Unafikiri mosad wana mzahaa
Siwezi kushangaa kukimbia kukamatwa kwa huyu mendele wako kwa sababu watu wa kaliba hii huwa hawataki kuwajibika. Hata hivyo kifo cha maji si mchezo. Jifunze kufurahia wanaume waliokubali kuwajibika acha kufwataa mende mende menmbona walimshindwa JOSEF MENGELE!?.. Au hili jina jipya kwako!?..
usikariri!!..
soo pathetic!..Siwezi kushangaa kukimbia kukamatwa kwa huyu mendele wako kwa sababu watu wa kaliba hii huwa hawataki kuwajibika. Hata hivyo kifo cha maji si mchezo. Jifunze kufurahia wanaume waliokubali kuwajibika acha kufwataa mende mende men
Hitler alifanya lipi baya kwa waafrika?
Waafrika wangapi waliteseka na hata kupoteza maisha kipindi cha utumwa amerika na ule wa waarabu?
mara ngapi waafrika wanabaguliwa hata leo ila bado unaleta chuki zako kwa Hitler ambaye hana historia dhidi ya Afrika
Ishu ya Adolf Hitler na Wayahudi kuivalia njuga nachelea kusema kuwa ni kujipendekeza tu
Huyo anakuzingua tuKama thread imekuzidi uwezo unaachana nayo mbona kuna thread nyingi tu za saizi yako kama ile ya kula tunda kimasihara
[emoji28][emoji28]kwaiyo mambo yaiyotokea enzi za hitler yanakuumiza wewe mpaka unawapangia watu wavae nini kwenye biashara zao za muziki,s h e n z i
Ni lazima kwanza utambue hicho kitabu kiliandikwa lini, kipindi hicho Wazungu wote walikuwa wanaamini hiyo, na ndo maana USA kulikuwa na segregation laws, USA ilikuwa hairuhusiwi kisheria Mtu mweusi kuoa/olewa na aryan Mzungu, na siyo USA tu, Ulaya yote ilikuwa hivyo.
Unafikiri apartheid maana yake nini?
Adolf Hitler hakuanzisha Ubaguzi au superiority ya Wazungu, ilikuwepo kabla ya Hitler, na ndo maana nikakwambia USA, Australia, Kanada na New Zealand na Paraguay, Chile, Argentina ilikuwa hauruhusiwi kisheria kuhamia huko kama wewe siyo ,,aryan stock”, yaani asili ya Ulaya.
Mkuu, Rwanda walichinjwa Wahutu si Watutsi.Hizo ni nadharia tu. Dunia haipo hivyo. Unakumbuka majeshi ya Magharibi yalipokuwa yanaangalia bila kuchukua hatua wakati Watutsi wakichinjwa kama kuku 1994 hapo Rwanda?
jamaa linaishi kwa shemeji yake kazi kuleta ujuaji tu hapa
pathetic bastardJiangalie sana mengele angefurahi sana kukufanyia project. Kwa haraka haraka nazani angenyofoa kichwa chako akachomeka kwa sokwee.
Af wanakuzidi mafanikio ww mwenye taaluma!!