To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Kazi kwelikweliMbombo ngafu ngafu ndio nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi kwelikweliMbombo ngafu ngafu ndio nini?
Kiswahili au kinyakyusa?Kazi kwelikweli
KinyakyusaKiswahili au kinyakyusa?
Nitaanza kulitumia , mbombo ngafu😊😊Kinyakyusa
Yeah,kaz kwelikweliNitaanza kulitumia , mbombo ngafu😊😊
Arusha wanajionaga wanyabi sna apa hawawezi husika kabisa.Hii haiwahusu wanaotoka Kilimanjaro na Arusha nadhani
Arusha wanajionaga wanyabi sna apa hawawezi husika kabisa.
Kabisa , sema kuna vingne wanapitiliza , utasikia " hiyo matejoo una unapigwa paru fax ya dwax babulai .Machali ati wanaona wana nchi yao.
Wanavyojivunia sasa utadhani hiyo Arusha inachamaana. Kwa ambao hawajawahi kufika Arusha lazima watishike.
Sema nini, napenda mtazamo wao wa kukubali kwao