bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Fisadi hafungwi umewahi ona wapi fisadi kaenda jela.Nyie ndio watu wapumbavu ambao taifa linaingiza hasara kupitia watu mwenye akili kama zako.. hiyo 100k in per day je month ni kiasi gani.. unajua mtu akiomba rushwa ya 100k akashtakiwa Huwa adhabu yake ni ipi kwa mujibu wa sheria.. unazania mtu kama huyo anaechukua 150 kwa kichwa angepewa wizara kama ya nishati alafu akaongeza 150 kwenye mafuta hiyo iwe inaenda mfukoni kwake au wizara za habari Sanaa na mawasiliano kaongeza 150 kwenye mihamala ungejisikia vipi.. nyinyi mnaotetea huo upuuzi ndio mnazalisha kizazi cha zakayo.. vijana kama nyie taifa halipaswi kuwategemea sababu tofauti yenu na mbuzi ni position ya madako..
Wao wanapiga ngapi hayo mabus na malori wanayomiliki mshahara unatosha?
Tulikuwa waaminifu wazalendo kuliko wewe