Nenda kituoni umepungukiwa 150 uone kama utapewa tiketiSasa sh 150 ndo inakutoa roho acha ubinafsi watakula wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kituoni umepungukiwa 150 uone kama utapewa tiketiSasa sh 150 ndo inakutoa roho acha ubinafsi watakula wapi
Tajili utakuwa wewe bhana hoja yako tu imekaa kimasikini unadhani hata bakhresa angekuwa comment kama yako jifunnze kuheshimu kidogo cha mtu inawezekana unaishi kwa baba na mama hata bei ya boxer tu hujui kakojoe ukalale wakubwa tuachie uzi wetu🤫🤫Masikini ndio upiga kelele,mnaacha kupigia kelele wizi WA Hela ya parking mnahangaika na vichenj si unaenda na chej kamili tu
Jukumu la kutafuta chenji ni la Muuzaji wa huduma sio mnunuziNenda na hela kamili
Mjinga sana wewe.Nenda na hela kamili
Unahongwa hela ama unatafuta mwenyewe au unapewa na shemeji yako?Dawa tafuta chenj kamili ufiche umasikini wako
Natafuta mwenyeweUnahongwa hela ama unatafuta mwenyewe au unapewa na shemeji yako?
Vihela vidgo hivyo povu la niniMjinga sana wewe.
Au tunabishana na mhudumu (Mwendokasi) wa Dirishani pale hatujakujua....... [emoji1787]Vihela vidgo hivyo povu la nini
bado hamjawa tayari kuliona tatizo hivi mnaelewa tunachojadili hapa? Kwani nani hajui kama kuna app mnadhani kila mtu anasmartphone hapa kinachojadiliwa ni chenji ya abiria kuchukuliwa kwa kigezo cha hakuna chenji tena kwa kauli mbovu eti katafute chenji au acha chenji!! Hii sio kweli tutakuja kupasua mtu tuonekane akili zetu sio nzuri.Ndugu zangu pamoja na matatizo yote ambayo mmeeleza kuna njia mbadala ya kukata tiketi kimtandao unatakiwa kupakua app ya mwendokasi kwenye simu yako ili ununue tiketi kidigitali wakati tunaendelea kukamilisha utaratibu wa kurudisha huduma ya kadi.
No mimi ni muuzaji madiniAu tunabishana na mhudumu (Mwendokasi) wa Dirishani pale hatujakujua....... [emoji1787]
Hiyo app ipo wapi tunaomba linkNdugu zangu pamoja na matatizo yote ambayo mmeeleza kuna njia mbadala ya kukata tiketi kimtandao unatakiwa kupakua app ya mwendokasi kwenye simu yako ili ununue tiketi kidigitali wakati tunaendelea kukamilisha utaratibu wa kurudisha huduma ya kadi.
Hana kazi yoyote huyo ndio maana hana nidhamu na matumizi ya fedha!! kenge kama kenge kwenye msafara wa mamba kwahyo hatuoni ajabu kutupanda kichwani.Au tunabishana na mhudumu (Mwendokasi) wa Dirishani pale hatujakujua....... [emoji1787]
Dar ni mateso!Watu wa Darisalama mnaishi maisha magumu sana asee
Hiyo app ipo wapi tunaomba link
Kwani hawalipwi mishahara? Hii tabia ya kubariki wizi ndio imetufikisha hapa kila sekta kuna mazingira ya wiziSasa sh 150 ndo inakutoa roho acha ubinafsi watakula wapi
wanajikausha kama nini halfu, chenji wanaficha chini ya Meza, ukikomaa unapewaKwani hawalipwi mishahara? Hii tabia ya kubariki wizi ndio imetufikisha hapa kila sekta kuna mazingira ya wizi