NAKICHUKIA SANA KIFO😭

Ukifa maisha yako ndiyo mwisho, hakuna ushahidi kwamba utaendelea.

Maisha yataendelea kwa matter yako kuwa funza, mimea, eventually atoms zako zitarudi kwenye viumbe wengine.
 
Umenijunbusha mbalii sana na huyu mwamba
 
Ni kweli sikupingi ila haiondoi uhalisia wa kuwa nakichukia kifo
Mimi nakushauri usikichukie! Na badala yake ungekipenda tu. Maana hakikwepeki. Yaani siku ikifika, lazima utakufa tu!

Hapa cha msingi muombe tu Mola wako ili hiyo siku ikifika, basi ufe kifo chema! Naamani kile kifo cha uzeeni, huku ukiwa umezungukwa na wanafamilia wako. Na siyo ufe kifo cha kuchomwa moto, kutekwa na kuteswa, nk.
 
HILI NALO MKALITAZAME.

Namuagiza Dokta Janabi aende akalifanyie kazi hili jambo ili watanzania tuishi milele.

Dokta janabi nina imani na uzoefu wako wa kubomoa mioyo ya wagonjwa, umefanya kazi katika mashirika mengi pamoja na serikalini hivyo sina shaka na uwezo wako wa kutufanya tuishi hadi kiama.

Nakutuma ukafanye kazi kwa kujiamini.

Cc: Lucas Mwashambwa chiembe ChoiceVariable Extrovert Nyani Ngabu Lamomy Poor Brain Lloyd Munroe
 
Asee na kinatisha kweli kweli.
Tunaogopa sababu hatujui nini kinafata.
Kuna mtu alisema ukitazama safari ya mto, ni ndeefu yenye kasi ila huwa ukifika baharini unapunguza kasi mno, ni kama unaingia woga, kuitazama bahari kunatisha, ila mwishowe unaingia na kuwa sehemu ya bahari.
 
Tunaogopa sababu hatujui nini kinafata.
Kuna mtu alisema ukitazama safari ya mto, ni ndeefu yenye kasi ila huwa ukifika baharini unapunguza kasi mno, ni kama unaingia woga, kuitazama bahari kunatisha, ila mwishowe unaingia na kuwa sehemu ya bahari.
upo sahihi sana mkuu
 
Mbona watu wema wengine wanakuf vifo visivyo vema kumbuka kifo cha Ali kibao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…