Anatumia hisia wala siyo kiroho!dmkali ongea kitu mkuuuu 😁
Katika ulimwengu wa roho chama tawala hakuna mpinzani wa kukiondoa madarakani awamu hii na awamu ijayo! Labda awamu ya 2035 ambako wataibuka tena wapinzani wenye nguvu mpya!
Katiba mpya itapatikana 2028 ambayo itaanza kutumika rasmi 2030!
Kwa sasa bado sana