Tena sio mmoja walifika kama 3 hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaa!!
Nani alisema tumchapee!!
Ulivyotaja neno "Unanidanganya" nikajua kabisa kuna mawili...we mwenyewe huoni unanidanganya kwa nguvu apo
Hahahaha π π wacha nicheke mie kwanzaUlivyotaja neno "Unanidanganya" nikajua kabisa kuna mawili...
1. Una mapenzi ya dhati unaogopa kufall in love na tapeli.
2. Ulishawahi kudate ukaachika.
Sema kweli
Hahahaha π π wacha nicheke mie kwanzaUlivyotaja neno "Unanidanganya" nikajua kabisa kuna mawili...
1. Una mapenzi ya dhati unaogopa kufall in love na tapeli.
2. Ulishawahi kudate ukaachika.
Sema kweli
Kwani uongo?Hahahaha π π wacha nicheke mie kwanza
Kwani uongo?Hahahaha π π wacha nicheke mie kwanza
Vipi alikuambia ni pigo gani hizoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alisema nina pigo kama zako, nikajisemea one day lazima nikutafute uniambie vizuri
Wee em apiaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena sio mmoja walifika kama 3 hivi
ni uongoKwani uongo?
Alisema niache kupinga uzinzi...Vipi alikuambia ni pigo gani hizoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni ukwelini uongo
Sio kwel kijana,,npo kwenye penzi mnogeo,,nmechelewa ku reply hapa tulikua tunaongeaπNi ukweli
Ulifeli mwenyeweππ
,ππππ ms r kwa sasa nakua napatikana kwa mida kama hii ambayo bebi wangu anakua katoka hivo na mii napata mda wa kupumua ,πππππππUmenimis wewe huna lolote mxiuuu
,ππππ ukuje hapambona kam umeelewa vibaya π€£
πππ Wewe mbna unataka kutuchanganyia mambo hapa mweehAmna, kwan alikuwa na maana gan kukuuliza kama bado una msimamo wako? Mr poor anakupenda sana