Nakuachaje sasa? Si kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi

Ulivyotaja neno "Unanidanganya" nikajua kabisa kuna mawili...
1. Una mapenzi ya dhati unaogopa kufall in love na tapeli.
2. Ulishawahi kudate ukaachika.

Sema kweli
Hahahaha πŸ˜‚ πŸ˜‚ wacha nicheke mie kwanza
 
Ulivyotaja neno "Unanidanganya" nikajua kabisa kuna mawili...
1. Una mapenzi ya dhati unaogopa kufall in love na tapeli.
2. Ulishawahi kudate ukaachika.

Sema kweli
Hahahaha πŸ˜‚ πŸ˜‚ wacha nicheke mie kwanza
 
Vipi alikuambia ni pigo gani hizoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alisema niache kupinga uzinzi...
Tena walinikomalia kweli kweli mpaka wasimamizi wakafungia uzi, uzi ulikuwa na dakika 16 page 15
 
Umenimis wewe huna lolote mxiuuu
,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ms r kwa sasa nakua napatikana kwa mida kama hii ambayo bebi wangu anakua katoka hivo na mii napata mda wa kupumua ,πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸŽ‰πŸŽ‰
 
Amna, kwan alikuwa na maana gan kukuuliza kama bado una msimamo wako? Mr poor anakupenda sana
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Wewe mbna unataka kutuchanganyia mambo hapa mweeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…