Mimi sasa hivi umri umeenda nimewaachi nyie vijan banaππMida kama hii ndo tuna pata nafasi ya kuwa jf jamni mana maza house anakua katoka...
Kuhusu connection za mashangazi if upo serious we nicheki lakini pia vijana wenzangu haya mambo yanahitaji uwe smart kichwani usiwe mapepe mapepe.....
Yatakuja kukukuta kama ya min -me huku inabidi utulie ile ule vitamu ππππ
Sasa imaginary ipo wapi hapa sis....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dogoo hii imagination unayotambaa nayoo.
Kitakulambaaaa!!
Wewe takulaumu mpaka ujuteee aiseeee....Mimi sasa hivi umri umeenda nimewaachi nyie vijan banaππ
Cheka sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaharibu uwanaume wako ile respect mkuu.Kuna nini mkuu....?
Au kila mtu ana access ya kupata mtu wa kujari kama hivi
Umri umeenda kwa sasa mkuu ,kijana wangu anakaribia 18 sasaπWewe takulaumu mpaka ujuteee aiseeee....
Yaani wewe utakuwa kama mfano kwa wengine ambao walichezea bahati hapa tanzania.. afrika mashariki ππππ
Kupeleka moto sio kila kitu mkuu...Hakuna cha usimat unahitajika hapo ni nguvu zako tu za kupeleka π₯ mshangazi ainjoi.
How naaribu uanaume wangu mkuu .?Unaharibu uwanaume wako ile respect mkuu.
Embu jaribu komfokea huyo mshangazi uone kama hutolala nje.
ππππ Ulizingua lakini si unakubali hilo πππUmri umeenda kwa sasa mkuu ,kijana wangu anakaribia 18 sasaπ
Nikibonga sana utasema nina_wivu ngoja ntulie.Kupeleka moto sio kila kitu mkuu...
**** kukuchoka ila ukiwa mjanja mjanja ukajiweka wewe kama important kwake uwezi kuchokwa..
Kwani hakuna wanaopelka moto na wakaachwa kuna kitu kinaitwa creativity ndo inatumika hapa πππππππ
Hamna mkuu ila kuna kingine zaidi ya moto amini kwamba......Nikibonga sana utasema nina_wivu ngoja ntulie.
Kwisha kabisa Mzee wangu.Wewe shangazi kwa pigo zako. Kila mtu atakung'ang'ania.
Sio kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi.
Uliponiroga karoga tena maana nainjoi umefanya mpaka nisahau kilichonileta hapa jijini dasalam.
Nakuachaje kwa mfano. Kwa hizi starehe.... πππππ
Ofcoz mapenzi ni art,Hamna mkuu ila kuna kingine zaidi ya moto amini kwamba......
Kuna life ukipitia unajua how to live na pipo kama hizi.....
Parasitism system πππ
Ni vile ujaingia kwa system mkuu ila ukiingia utajua nachomaanisha nini...ππππKwisha kabisa Mzee wangu.
Usikute na jibishana na legend wa haya mambo πππππOfcoz mapenzi ni art,
Ubunifu lazima uwepo ila zingatia kwenye kipengele cha kupeleka π₯
HahahaUsikute na jibishana na legend wa haya mambo πππππ
Mkuu upo kitengo nini mbona kama unaelewa haya mambo clear
Mzee wangu Shangazi kaamua kukupa vyote.Ni vile ujaingia kwa system mkuu ila ukiingia utajua nachomaanisha nini...ππππ
Serious maana kuna kitu ume stik hapo kila nacho kiongea wee neno lako moja tu....Hahaha
Shangazi anakupeleka River side? Unajua wee Dogo ni Dunyaa?Sasa imaginary ipo wapi hapa sis....
Hivi unazani nipo hapa kutania au....
Nasema the way nainjoiii minsiwezi kuwa na mshangazi wa hovyo hizo level nishapita kitambo saaaan yaani mdaaaaa huko ...
Now hata jito la jiji silioni kiufupi nainjoi hata chuo sizani ka tarudi mambo yapo [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
Nakupa code tuu leo kuna katukio pale river side tokea then utajua who am i [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapoo badoo sijachekaa dogo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cheka sana