Nakuachaje sasa? Si kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi

Nakuachaje sasa? Si kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mkuu sielewi hapa...
Sio mda mranipoteza huku wakuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Taarifa iwafikie JamiiForums na uongozi wake pamoja na @members woooote wakiona kimya wasiende jukwaa la kutafuta watu wajue mshangazi umeshafanya yake
Oy Stress Challenger kuna kijana wako huko ameshachangamka!
😁😁
 
Taarifa iwafikie JamiiForums na uongozi wake pamoja na @members woooote wakiona kimya wasiende jukwaa la kutafuta watu wajue mashangazi umeshafanya yake
Oy Stress Challenger kuna kijana wako huko ameshachangamka!
😁😁
Kuna watu humu hawato amini najua wana wivu sana kuona mimi namiliki mshangazi mfano ni huyu Analyse

Sasa mwisho wa mwezi huu natuma na mapicha humu....
 
Pesa ipo ya kutosha lakini πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Sio pesa mingi..
Ila inaweza kufanya niinjoi life..

Unaweza usipumue wala usikohoe kwa hizo raha πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom