Nakubaliana na hoja ya Spika: Serikali iajiri walimu wengi wa kiume kuliko wanawake

Nakubaliana na hoja ya Spika: Serikali iajiri walimu wengi wa kiume kuliko wanawake

Vigezo vinaongezwa tu, ilikuwa wanaojitolea, mara ikawa waliomaliza chuo 2012 kurudi nyuma, sahivi tena jinsia.....kesho sijui kitakuja kigezo gani.

Hadi watu waajiriwe tutaona na kusikia mengi
 
Juzi spika aligusia kidogo suala la ajira kwa walimu na kuishauri serikali kutoa kipaumbele cha ajira kwa walimu wengi wa kiume kuliko wanawake.

Hoja ya spika ina mashiko kwa sababu nature 'asili' ya wanawake wengi hupenda raha na sio wavumilivu wa mazingira magumu.

Kwakuwa uhitaji wa walimu kwa sasa ni maeneo ya vijijini, serikali inapowaajiri walimu wa kike katika maeneo hayo baada ya muda huyakimbia kwa kuomba uhamisho wa kufuata wenza wao ambao wanafanya kazi mijini.

Kwakuwa rate ya walimu wa kike wanaohama ni kubwa ndio maana shule za vijijini zinakosa walimu wa jinsia hiyo kwa sababu asilimia kubwa wamerundikana shule za mjini ambako walihamia kwa kisingizio cha kufuata wenza wao.

Si hivyo Tu, hali hii pia huleta usumbufu kwa walimu wa kiume wanaofanya kazi vijijini kwani hukataliwa na walimu wa kike kwa kuamini kuwa endapo watawakubalia na kuishi kama wana ndoa wataendelea kuishi kijijini. Hivyo walimu wengi wa kike hulazimika kutafuta wenza walioko mjini ilikusudi wahame hali inayopelekea walimu wa kiume walioko vijijini kukosa fursa ya kuoa walimu wenzao.

Kumbe ni sahihi kabisa serikali ikatoa kipaumbele kwa walimu wa kiume kwa sababu ni wavumilivu wa mazingira ya vijijini kuliko wanawake ambao wakiajiriwa baada ya muda wanahama na hivyo kusababisha tatizo la uhaba wa walimu kwa shule za vijijini kubaki pale pale
Ndugai ana mambo!! Nyakati zingine ana hoja zenye mashiko kama hii hapa!! Ni ngumu kuipangua labda ulazimishe tu!!
 
Mbozi kuna chenga sana mama Samia imulike mbozi uhamisho wa walimu mwingi ni feki kwa mfano barua ya uhamisho anaandika mkurugenzi anakuja MTU kwenye idara ana sitisha uhamisho kwa niaba ya mkurugenzi bila kujua halafu anatengeza pesa,
 
Kuna zero humu bado zinaamini mwanaume ni more superior and intelligent kuliko mwanamke🤣
 
Mbozi kuna chenga sana mama Samia imulike mbozi uhamisho wa walimu mwingi ni feki kwa mfano barua ya uhamisho anaandika mkurugenzi anakuja MTU kwenye idara ana sitisha uhamisho kwa niaba ya mkurugenzi bila kujua halafu anatengeza pesa,
Liweke sawa hili mkuu lieleweke vzr
 
Ukute Ndugai ameshauri ivyo ili vijana waweze kuoa [emoji23][emoji23] hivi nyie hamzijui akili za mheshimiwa lakini?
Napo ni sahihi kwa sababu walimu wa kiume wakiajiriwa wengi watawaoa walimu wa kike ambao hawana ajira na hivyo tatizo la ajira na ukali wa maisha vitakuwa vimepunguzwa kwa njia hiyo
 
Wanaume wengi hawapendi ajira ya ualimu hasa ngazi za chini. Kwa hivi kusema tu waongezewe ajira inaaweza isiwe suluhisho. Muhimu ni kuboresha mazingira na kipato hapo idadi inaweza kuongezeka
 
ujinga umetamalaki sana tz, wapo wazalendo uchwara wanaolitafuna taifa kwa kuwahadaa watz maskini wasiokuwa na elimu
 
Juzi spika aligusia kidogo suala la ajira kwa walimu na kuishauri serikali kutoa kipaumbele cha ajira kwa walimu wengi wa kiume kuliko wanawake.

Hoja ya spika ina mashiko kwa sababu nature 'asili' ya wanawake wengi hupenda raha na sio wavumilivu wa mazingira magumu.

Kwakuwa uhitaji wa walimu kwa sasa ni maeneo ya vijijini, serikali inapowaajiri walimu wa kike katika maeneo hayo baada ya muda huyakimbia kwa kuomba uhamisho wa kufuata wenza wao ambao wanafanya kazi mijini.

Kwakuwa rate ya walimu wa kike wanaohama ni kubwa ndio maana shule za vijijini zinakosa walimu wa jinsia hiyo kwa sababu asilimia kubwa wamerundikana shule za mjini ambako walihamia kwa kisingizio cha kufuata wenza wao.

Si hivyo Tu, hali hii pia huleta usumbufu kwa walimu wa kiume wanaofanya kazi vijijini kwani hukataliwa na walimu wa kike kwa kuamini kuwa endapo watawakubalia na kuishi kama wana ndoa wataendelea kuishi kijijini. Hivyo walimu wengi wa kike hulazimika kutafuta wenza walioko mjini ilikusudi wahame hali inayopelekea walimu wa kiume walioko vijijini kukosa fursa ya kuoa walimu wenzao.

Kumbe ni sahihi kabisa serikali ikatoa kipaumbele kwa walimu wa kiume kwa sababu ni wavumilivu wa mazingira ya vijijini kuliko wanawake ambao wakiajiriwa baada ya muda wanahama na hivyo kusababisha tatizo la uhaba wa walimu kwa shule za vijijini kubaki pale pale
Ukweli mchungu.
 
Wa kulaumiwa ni Serikali Rais mshahara wake ni zaidi ya milioni 400 kwa mwaka hakatwi kodi, Mawaziri na Wabunge wana mishahara mikubwa nao na marupurupu manono hawalipi kodi, kila baada ya miaka mitano wanalipwa zaidi ya milioni 300 kama kiinua mgongo hawakatwi kodi. Fikiria wangepunguza hii mishahara yao, marupurupu na viinua mgongo na kuanza kulipa kodi ni kiasi gani kama nchi tungeweza kuboresha maisha kule vijijini na kufanya maisha kuwa rahisi kwa Watanzania wengi?
Umenikuna sana, hii ndiyo movement tunayotakiwa kuiamsha, watanzania siyo watu wa kuendelea kumizwa na kundi dogo la wahuni wanaojiita waheshimiwa kisa waogopwe
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Badala mkazane kuyatengeneza hayo mazingira yanayokimbiwa, mnataka muajiri wanaume. Haya pambaneni.
Kutengeneza mazingira ni mchakato wa muda mrefu na tunaona namna serikali inavyopambana kupeleka huduma muhimu vijijini. Hizi ajira ni za sasahivi so kwa muda huu ambao mazingira bado si rafiki sana huoni kuna umuhimu wa kuajiri watu watakaoweza kuendana na mazingira?
 
Badala mkazane kuyatengeneza hayo mazingira yanayokimbiwa, mnataka muajiri wanaume. Haya pambaneni.
Ila tuangalie kidogo. Kama magufuri katumia miaka mitano akijaribu kuibadiri chako kuwa mjini. Je selikali itatumia miaka mingapi kubadiri vijiji viendane na mazingira ya kuishi sray qween tanzania nzima. Hata kama watawapandishia mshahara na kuboresha makazi yao na huduma nzuri za afya. Je watawajengea na minara ya sim yenye 4g ili wachati muda wowote.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Kiasili wanaotakiwa kufanya kazi ni wanaume, hao wanawake watakula kwa mgongo wa hao hao wanaume. Kwa hiyo unapotoa ajira kipaumbele iwe ni kuajiri wanaume zaidi kuliko wanawake, nafikiri wote tunakubaliana kwenye hili....
 
Shukrani sana Mkuu 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Umenikuna sana, hii ndiyo movement tunayotakiwa kuiamsha, watanzania siyo watu wa kuendelea kumizwa na kundi dogo la wahuni wanaojiita waheshimiwa kisa waogopwe
 
Kwa spika serikali kutoajiri walimu wa kike sio ubaguzi, ila covid19 kufukuzwa na chama chao kwa kuwa ni wanawake ndo ubaguzi.
Nimemuelewa spika wangu. Haya buana, kazi iendelee
 
Back
Top Bottom