Nakubaliana na hoja ya Spika: Serikali iajiri walimu wengi wa kiume kuliko wanawake

Boresha mazingira ya kazi . Unajua mshahara wa madaktari na mwalimu ni tofauti? Kwann isiwe level moja. Nimrfanya kazi serikalini najua mengi. Acha kuleta siasa hayo maboresho unayosema nn???
 
Chamuhimu Happ naona sheria iwekwe kwa walimu wataokimbia vituo vya kazi, kuliko kupunguza namba kwa walimu wa kike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…