We unajua ni kwa nini hasa alikuwa anaondoka ?Father alikuwa akipata pesa anaondoka na kutokomea kusikojulikana maisha yanatuchapa tukiwa na mama, lakini after all nimeamua kumsamehe chuki ni jela ya nafsi.
baada ya sadaka kwa baba ndo nikapata kazi tena kumbuka ni sadaka ilio nona tena iwe ya upendo yaan muombe mungu toba kwa kumchukia baba yako, pia ww samehe yawezekana aliefanya hayo yote sio baba yako ni mungu mwenyew aliamua ni check kwa number hii tushauliane zaid 0750808484 kumbuka baraka zinatoka kwa wazaz hasa baba( lakini tusimzalau mama), toka enzi baraka zinatoka kwa baba nitafute ndugu tuyajenge MIMI SIO MUANDISHI MZURI SANA NISAMEHE ILA KWENYE HAYA CHUKUA CHOCHOTE KILE MUNGU ALICHOTAKA UPATEWakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo
Baba yangu aliondoka nyumbani 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha kakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.
Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajiri ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.qq
Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefka hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
Sure kabisaMimi nawapenda sana wanangu, ila kwa kitu mke wangu alinifanyia mwaka 2013 nikiwa na watoto wawili, ningeweza mtelekeza kama Baba yako alivyofanya ( Kama nisingekuwa na Imani katika Mungu)
Hawa Mama zenu sio malaika, wakati mwingine waache tu wateseke!
Mama yako anakupotezea mda tu, mfariji, ila tafuta Baba yako, atakusaidia sana na kukupa experience ya kiume ngumu aliyopitia kwa Mama yako, hawa wanawake waangalieni hivi hivi, shida sana!
Usimlalamikie baba yako! Uenda alichukua uamuzi mgumu ili muishi na yeye aendelee na maisha! Hawa wanawake viumbe pasua kichwa! Oa ukae na mke angalau miaka 5 utatuletea mrejeshoWakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo
Baba yangu aliondoka nyumbani 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha kakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.
Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajiri ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.qq
Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefka hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
Mimi nina changamoto kama zako hila sijawahi kuja hapa kulalamika maana na mimi sasa hivi ni baba na mama yao niliishampa red cardWakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo
Baba yangu aliondoka nyumbani 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha kakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.
Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajiri ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.qq
Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefka hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
Unaweza kukuta hata huyo dogo sio wa huyo mzee labda ndio maana huyo faza alikimbia lahashaKumbuka kuna ishu ya kubambikiwa mtoto uko kwenye ndoa. Hapo busara ni dogo kumtafuta mshua asikilize na story ya upande wa pili.
nimekua nikaelewa ndio maana nikamsameheWe unajua ni kwa nini hasa alikuwa anaondoka ?
Huenda hata huyo mtoto hakuwa wa dingiz jamaa akaona ajikate kimya kimya kiutu uzimaKabisa mkuu.Kuna kitu awezi muacha mke kajifungua.
Safi,nimekua nikaelewa ndio maana nikamsamehe
Wanawake viumbe pasua kichwa ila wakati huo huo kaondoka kaenda kwa mwanamke mwengine!?Usimlalamikie baba yako! Uenda alichukua uamuzi mgumu ili muishi na yeye aendelee na maisha! Hawa wanawake viumbe pasua kichwa! Oa ukae na mke angalau miaka 5 utatuletea mrejesho
Hakuna mwanaume hapendi familia yakePamoja na wanawake kuwa chanzo sa zingine, hawakusema kwenye vikao vyenu mtelekeze watoto, kwanini watoto wawe victims zaidi kwenye ugomvi wa baba na mama?
Hayupo man, hayupo kabisaHakuna mwanaume hapendi familia yake
Ndoa ni muunganiko wa watu wanaoelewana!!! Tofauti na hapo ni kutafuta amani na maelewano sehemu nyingineKwa hiyo kupitia masahibu ndio kigezo au tiketi ya kutelekeza familia?
Kama huyo baba alijua kwamba hana uwezo wa kuhudumia familia, Kwa nini alizaa?
Kwa nini alileta watoto duniani?
Ume-prove kuwa ni real biological father of yours?, prove first kabla ya kumtangaza vibaya mtu asiye na hatiaWakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo
Baba yangu aliondoka nyumbani 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha kakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.
Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajiri ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.qq
Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefka hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!