Nakuchukia Baba yangu

Nakuchukia Baba yangu

Mama ashakulisha sumu ya kutosha, kuna sababu ya baba yako kuondoka ambayo mama yako hawezi kukuambia
 
Wakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo

Baba yangu aliondoka nyumbani 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha kakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.

Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajiri ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.qq

Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefka hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
baada ya sadaka kwa baba ndo nikapata kazi tena kumbuka ni sadaka ilio nona tena iwe ya upendo yaan muombe mungu toba kwa kumchukia baba yako, pia ww samehe yawezekana aliefanya hayo yote sio baba yako ni mungu mwenyew aliamua ni check kwa number hii tushauliane zaid 0750808484 kumbuka baraka zinatoka kwa wazaz hasa baba( lakini tusimzalau mama), toka enzi baraka zinatoka kwa baba nitafute ndugu tuyajenge MIMI SIO MUANDISHI MZURI SANA NISAMEHE ILA KWENYE HAYA CHUKUA CHOCHOTE KILE MUNGU ALICHOTAKA UPATE
 
Mimi nawapenda sana wanangu, ila kwa kitu mke wangu alinifanyia mwaka 2013 nikiwa na watoto wawili, ningeweza mtelekeza kama Baba yako alivyofanya ( Kama nisingekuwa na Imani katika Mungu)

Hawa Mama zenu sio malaika, wakati mwingine waache tu wateseke!

Mama yako anakupotezea mda tu, mfariji, ila tafuta Baba yako, atakusaidia sana na kukupa experience ya kiume ngumu aliyopitia kwa Mama yako, hawa wanawake waangalieni hivi hivi, shida sana!
Sure kabisa
 
Wakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo

Baba yangu aliondoka nyumbani 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha kakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.

Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajiri ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.qq

Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefka hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
Usimlalamikie baba yako! Uenda alichukua uamuzi mgumu ili muishi na yeye aendelee na maisha! Hawa wanawake viumbe pasua kichwa! Oa ukae na mke angalau miaka 5 utatuletea mrejesho
 
Wakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo

Baba yangu aliondoka nyumbani 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha kakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.

Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajiri ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.qq

Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefka hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
Mimi nina changamoto kama zako hila sijawahi kuja hapa kulalamika maana na mimi sasa hivi ni baba na mama yao niliishampa red card
 
Baba kukimbia nyumba haina maana katelekeza watoto.Japokuwa kama huko alikoenda ataishi na mwanamke mwingine, huyo aliyekimbiwa lazma ajae sumu na hiyo sumu lazima awatapikie watoto wake.
Hapo hataukiuza figo uwatunze as long as huish nao huyo mama ndo atakaye amua watoto wako wakuone nani kwao, baba, kinyago, mshenzi au mwenda wazimu.
 
Kwakua wewe ni mtoto na hujui sababu ya baba yako kukimbia. Wewe sio lazima umpende ila cha kukusaidia usimchukie mtu usiyemjua.

siku ukija kufahamu ni mama yako ndio alimkimbiza kwa kumtamkia kuwa "hawa sio wanao" sijui utajisikiaje.

Ngoja na wewe uwe baba, halaf uyajue mazonge ya akina mama ndio utapata fursa ya kutafakar sawa sawa
 
Ni kweli baba yako alikosea kufanya hivyo,lakini wewe hupaswi kufanya kosa lingine la kumchukia,kumbuka kuwa wewe ni damu yake uliyetoka katika kiuno chake,unatakiwa umusamehe na kumshukuru Mungu ambaye hakukuacha kama baba yako alivyokuacha katika mapito yako.
 
Wakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo

Baba yangu aliondoka nyumbani 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha kakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.

Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajiri ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.qq

Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefka hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
Ume-prove kuwa ni real biological father of yours?, prove first kabla ya kumtangaza vibaya mtu asiye na hatia
 
Back
Top Bottom