Nakuchukia Baba yangu

Sasa sisi tuna comment kwa yale umeandika maana hatujui nin hujaandika bado
 
Kama ndo tabia yake huyo baba yake basi itoshe kusema mama yako hakupata mtu sahihi kwenye maisha. Hilo linaweza kumtokea mtu yeyote. Sasa wewe hutakiwi kuiga tabia mbaya ya baba yako ya kutelekezana. Ukiiga hiyo tabia ukamfanyia baba yako, Sasa tofauti yenu iko wapi?
Angalia hiyo roho mbaya ya baba yako isikuvae. Muombe Mungu hata kizazi cha nne kisichukue hilo pepo.
 
Una uhakika ni babako?
 
Ww una nn mpka sasa? Kumpita baba yko.
nipo hivi nilivyo kwa sababu ya baba yangu! Labda baba yangu angeamua kutulea ktk njia anayotakiwa kumlea mwanae nisingekuwa kapuku,maskini,mbangaizaji na hohehahe kama nilivyo sasa. Kidato cha nne nilifaulu na kuchaguliwa kujiunga na elimu ya kidato cha tano na sita,ila sikwenda kwa sababu ya ukata, wenzangu niliosoma nao wapo mwaka wa tatu vyuo vikuu,mimi sjui future yangu,ila ushauri wa wadau nimeufanyia kazi,na kesho naenda kukutana na baba yangu. Kwani nimepigiwa simu sasa kuwa umetokea msiba wa babu yangu mkubwa upande wa baba kuwa amefariki na mzee kanihimiza niende,hivyo naenda kukutana nae na ikiwezekana nirudi nae nyumbani kwa mama, pombe ndio chanzo kikubwa cha baba kufanya hayo yote. Ahsanteni wote mliotoa ushauri wenu mkiongozwa na Mshana Jr
 
kama nilikuwa na wiki mbili tangu nizaliwe niliwezaje kwenda kwenye vibarua nikitoka skuli? Rudia kusoma thread yangu.
Huyo mtoto mwenye alikua week mbili ndio chanzo babako kukimbia, muulize mamaako vizuri huyo ni mtoto wa babaako kweli au?
Haiwezekani babaako akimbie baada tu ya mtoto kuzaliwa.
Si angekimbia Mimba basi,
Jifikirie
 
Tatizo linaweza kuwa mwanaume pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…