Nakuchukia Baba yangu

Nakuchukia Baba yangu

Ipo siku utaelewa kwann aliondoka akakuacha na mama yako na hauta mlaumu bali utamshukuru.
 
kama huna jibu,basi wewe utakuwa miongoni mwa hao wanawake wanaosababisha mzee aondoke nyumbani? Au ndo mana Tate Mkuu ashakukimbia?
Kwani alisema atanioa lini?? Katamka for real ananioa .
Sikia Tate Mkuu ni sijawahi kumuona humu nataniana naye tu anamke nawatoto lukuki kwa maisha ya ukweli .
Tunafurahiana tu kzi yake ni uganga
 
Nashukuru Almighty kwa kuishi na Baba na Mama....
Lakini kama mmoja wapo asingekuwa katika masha yangu, nisingemuelewa mpaka siku navuta.....
No IF, No BUT.....
 
Kwani alisema atanioa lini?? Katamka for real ananioa .
Sikia Tate Mkuu ni sijawahi kumuona humu nataniana naye tu anamke nawatoto lukuki kwa maisha ya ukweli .
Tunafurahiana tu kzi yake ni uganga
hahahaha! Ndiyo sizungumzii maisha halisi bali utani umetawala ila ingekuwa vema utie neno ktk uzi wng? Si unajua siku hizi nakuzimia SweetyCandy
 
Wakuu,

Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo.

Baba yangu aliondoka nyumbani mwaka 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha hakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.

Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajili ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.

Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefika hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
🤔
 
Wakuu,

Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo.

Baba yangu aliondoka nyumbani mwaka 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha hakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.

Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajili ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.

Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefika hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
Baba ni Mungu wa pili, muite ukae nae uongee nae. Alaf ataanza kujichukia mwenyewe, ila ukisema unamchukia Baba yako mzazi unafanya vibaya
 
Wakuu,

Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo.

Baba yangu aliondoka nyumbani mwaka 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha hakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.

Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajili ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.

Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefika hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
Yeye amefanya sio, wewe usifanye sio, huyo atabaki baba Yako na haaira zako haziwezi mwathiri Bali tuli endelea na mfanyie yote kama baba na hiyo itaonyesha wema wako na huenda akajirudi .
 
Back
Top Bottom