Nakuja Dar es Salaam kwa mara ya kwanza, nipeni muongozo huu

Nakuja Dar es Salaam kwa mara ya kwanza, nipeni muongozo huu

Naona umoja ule wawatu wa kanda ya ziwa upo mstari wa mbele
 
Haya majiji yanakusanya vigagula wa kutosha, nilisikia pale London kuna vigagula vya kufa mtu hadi wabongo wanakamatana ulozi pale kwa malkia...
Wala siyo uongo mkuu
Tutegemee kuona mabango ya KUTANA DR MALUMA KUTOKA KIGOMA ANATIBU......
katka Jiji la London

Mkuu uongo zambi wakazi wa Dar wanaendesha shughuri zao kwa kutegemea ushirikina na uchawi si wamaofisini Wala wafanyabiashara woote ni partcipant wakubwa wa waganga wa kienyeji inshort Dar inatisha kwa ushirikina, Mabinti wengi wanaroga ili wapendwe na watu wenye hela na Magari,

Mmmh naomba nisishushe nondo manaake hapa siyo mahala pake, tumuche kaka wawatu anaetaka kuja Dar kusaka ridhiki huenda kajipanga
 
Kaka nitakusaidia kwa uchache saaana maana Mimi pia nimekuja dar nikitokea kanda ya ziwa mkoa wa Geita, baba yangu pia ni mvuvi wa dagaa ziwa ziwa Victoria upande wa kasamwa butundwe, nitakupa mwongozo na changamoto nilizo kutana nazo Mimi kijana mwenzako. ni PM
Mango nipe koneksheni ya kupata dagaa Safi kauzu
 
Achimwene wa Makete usiwe mpumbavu,sihitaji Mlinzi maana pale site hakuna kitu kinachoweza kuibiwa,lakini kama kuna mhitaji anayetaka kujibanza panafaa,na usafiri wa kufika Tegeta Kibaoni ni rahisi
Wewe ndio mpumbavu, tueleze ni kilometers ngapi kutoka city center mpaka Madale?

Huyo Diamond ana pesa ni tajiri ana usafiri na yuko mbioni kuhama Madale baada ya kugunduwa aliingia mkenge kujenga mbali vile, sasa hivi anahamia kigamboni.
 
Msaada alio utoa wa kumpa chumba ni mkubwa, mtoa mada yeye ndo ataamua kuishi ama kuto ishi sio wewe ambae pengine unasehem safi ya kulala. Ko jifunze kukaa kimya wakati mwingine.
Madale siyo msaada huo, nipigie hesabu ya nauli kwanza kwenda na kurudi mfano kariakoo tu kwa siku ni shilling ngapi mara mwezi mmoja inakuwa shilling ngapi?

Hivi mnadhani wanaopanga sehemu kama buguruni kwa bei rahisi ni wajinga? Wakati mwenzio anaweza kutembea hata kwa mguu kwenda town?

Kuna Muhindi anaishi Madale? Unadhani ni kwa nini wahindi wanaishi mjini na wana pesa?
 
Pamoja na mengine ukija Dar achana na warembo au mashuga mammy wà Dar. Hao ndio wachawi wetu hapa mjini. Vumilia huu mwaka mmoja ndio umlete girlfriend wako huyo huyo uliyenae. Asije akakwambia mtu kwamba huyo Ni mshamba. After all Mimi naona k za washamba Ni tamu kuliko Hawa ma slay queen mumiani wanyonya damu.
 
Achimwene wa Makete ningefahamu walau kiwango chako cha Elimu ingekuwa ni jambo jema sana,Madale ya leo ni barabara ya Lami kutoka Tegeta Kibaoni mpaka Goba Njia 4,kuna Daladala na Bajaj za kutosha,usiwe mjinga kuleta habari za Diamond kujenga Madale na kuhama eti kwamba alijenga kimakosa,Madale kwenda Tegeta 500,Tegeta kwenda Kariakoo tsh 700,KWA hiyo kwa akili yako unamaanisha wanaoishi Madale hawafanyi shughuli zao City Centre kwa sababu ya umbali??unaleta ujuaji wakati unaishi chumba kimoja cha KUPANGA na hujui hata bei ya tofali moja[emoji17]Nihil Et Cum Deo
 
Na huyu muombaji sio lazima afanyie shughuli zake KARIAKOO,Tegeta kuna soko,Bunju kuna soko,Mwenge kuna soko,Kawe kuna soko,Manzese kuna soko nk nk,ni yeye ndie atakayeamua wapi afanyie shughuli zake,acha kukariri suala la Kariakoo tu,eti hoja ya kwa nini Wahindi wanaishi Mjini na wana pesa,khaaaa,unajua upatikanaji wa zile Apartments wanazoishi hao Wahindi Mjini au unapayuka tu
 
Achimwene wa Makete ningefahamu walau kiwango chako cha Elimu ingekuwa ni jambo jema sana,Madale ya leo ni barabara ya Lami kutoka Tegeta Kibaoni mpaka Goba Njia 4,kuna Daladala na Bajaj za kutosha,usiwe mjinga kuleta habari za Diamond kujenga Madale na kuhama eti kwamba alijenga kimakosa,Madale kwenda Tegeta 500,Tegeta kwenda Kariakoo tsh 700,KWA hiyo kwa akili yako unamaanisha wanaoishi Madale hawafanyi shughuli zao City Centre kwa sababu ya umbali??unaleta ujuaji wakati unaishi chumba kimoja cha KUPANGA na hujui hata bei ya tofali moja[emoji17]Nihil Et Cum Deo

500 + 700= 1200/= × 2= 2400/= per day.

2400 × 30= 72,000/= per month.

Je wewe msomi una akili timamu?
 
Na huyu muombaji sio lazima afanyie shughuli zake KARIAKOO,Tegeta kuna soko,Bunju kuna soko,Mwenge kuna soko,Kawe kuna soko,Manzese kuna soko nk nk,ni yeye ndie atakayeamua wapi afanyie shughuli zake,acha kukariri suala la Kariakoo tu,eti hoja ya kwa nini Wahindi wanaishi Mjini na wana pesa,khaaaa,unajua upatikanaji wa zile Apartments wanazoishi hao Wahindi Mjini au unapayuka tu
Wahindi wanatumia Calculator, wewe unatumia makalio kufikiri.
 
Acha kusoma Soma hzo quotes zitakupoteza uhalisia upo tofauti kabisa.
Mkuu nimesoma vitabu mbali mbali pia hizo quote huwa nakutana nazo, vitabu wala quotes kamwe havitakupa pesa ila vinajenga imani tu, ni kama vile mtu anavyosoma quraan au biblia......naelewa on the ground mambo ni magumu mnooo lakini naelewa lengo langu ni lipi thuswhy nimeacha sehemu niliokua najitolea na ninalipwa ili nipambane.
 
Back
Top Bottom