Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Unanikwaza kila unapo itaja as if ndio ticket.
Ulishwai kumsikia mbunge yule Msukuma. Kila anacho kitaja lazima aseme ana elimu ya Darasa la saba. Sijui inakusaidia nn

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu ww mwalimu mbona una roho kubwaaaa,shida iko wapi akiitaja elimu yake ww nn kikuwashacho?????

Unazingua coz unakuwa mpinzani sana kwa huyu dogo wkt hata msaada huna.Shutup bhana muache dogo apambane kivyake na sio kujifanya unajua saaaaana ukatufanya na sie wengine tuanze kutembea bampa to bampa na ww.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mvua muda huu hapa inanyesha, na treni inazidi kuchanja mbuga.
 
Msimtishe kijana hajafanya kosa lolote, anatafuta maisha. Kama unaweza kumsaidia msaidie, kama huwezi, huwezi. Ila anaweza kuwa mjasiliarima mzuri mkubwa huko mbeleni, bila msaada wa yoyote kwenye hili jukwaa,

Jiamini tu, Pambana.
Wapuuzi nyie huyu ni asset tayari treni ikitua au ikifika pale kuna watu kumi wa kumpokea bila yé-yé kujua mimi najua
 
Mvua muda huu hapa inanyesha, na treni inazidi kuchanja mbuga.
Piga moyo konde dogo maisha popote halafu riziki yako iko miguuni kwako achana na hayo maneno ya wanaokutisha mara ooooooh sijui dsm pana miiba,mara sijui pako hivi kwahiyo wanataka kutufanya tuwaone wao ma sterring sana kumudu kuishi dsm???wkt ni sehemu ya kawaida tu coz yawezekana dar pana maisha mepesi kuliko hata huku kwetu

Dogo ninachoweza kukuusia tu ni kuwa uaminifu waweza kuwa mtaji wako wa kukutoa kimaisha,zaidi uwe na Juhudi,Nidhamu na utuhuruma kwa wengine hakika hivyo vitakutoa ktk maisha yako.

Zaidi zaidi Mungu akuongoze,akulinde na akutilie wepesi ktk utafutaji wako ila kumbuka kuuambia moyo wako kuwa

"MOYO TULIA MJINI KUNA VYA WATU"

Hapa namaanisha tamaa na mali za watu itupe hapo dirishani baada ya kusoma msg hii.EPUKA TAMAA KWA VITU VISIVYO VYAKO.

All the best.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu! Nimekuelewa, wengi pia wameniambia hayo.
 
Ndiyo mkuu, nimepanda hili dude, maana nauli ni sawa na bure 27,600 tu ndiyo bei. Siyo mbaya.
Dogo ume atract watu wa usalama sana kuna ambao umepanda nao njia nzima toka ulipitoa uzi huu dodoma wamepnda 13 n'a morogoro watakuwa 2 hawa wite watakusundikiwite bla wute wewe kujuwite île wamekutrakwite kwa mabehewute uko uko la sitate au la tisate utajuwite kifupi zimakodite ingiate bila kuwashate mbuuuuuuuuuu usikaguwite zimasimu yako moka kwenye pass Word igiza paasworrd ukishatoka daraja la mfugaleeeeeeeeeee
 
Huyu mpuuzi anakuset amepanda dodoma mpuuze kuwa makini wanakutrak wamekuona ni assezasset kwao
 
Usinge hiyo tunaitafuta!
 
Kuna jamaa ananidokeza mikoa ya pwani inatumia gari za polisi zenye plate number za zanzibar nyekundu na wanyarwa......... wanaletwa kimyakimya uko behewa la 13
 
Wapuuzi nyie huyu ni asset tayari treni ikitua au ikifika pale kuna watu kumi wa kumpokea bila yé-yé kujua mimi najua

Usikurupuke sana, tulia kidogo sasa anafanyaje? tupe ushauri wako, au wewe ni specialist critics, matusi only tu bila ku provide way foward. Angekuwa kaka yako ungekuja ni sentence za kijinga?
 
Kuna jamaa ananidokeza mikoa ya pwani inatumia gari za polisi zenye plate number za zanzibar nyekundu na wanyarwa......... wanaletwa kimyakimya uko behewa la 13

Umelewa Mzee Baba, tulia kesho uongea. Wewe mwenyewe unazielewa your last 4 posts zako? Paranoid schizophrenia? Find help mkuu.
 

Umechangikiwa kabisa watu wa usalama wako wangapi? Sasa wamkamate Kwa kosa gani, hata polisi hawamkamati? Kosa lake ni lipi kuja Dar kutafuta maisha ? Tulia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…