Free basics anatumia bureeeeeHatukuamini kwa sababu una hell ya bando mda wote. Hivi hakuna akiyekushauri uuze smart phone yako then UANZE biashara ya kuchoma mahindi manzese? Hasa kipindi hichi Cha mvua mahindi yanatoka Sana. Pembeni weka na miavuli minne ikinyesha tuu unauza hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe pia umetoka kigoma?
Mkuu nenda mwenge.bamagaBaada ya kupigana hapa na pale humu JF nikiwaomba mnisaidie hata kibarua ili nipate hela ya kula nitakapofika Dar, Maombi yangu yanaonekana ni upuuzi!
Watu wananiita mimi ni Muongo, na wengine wakasema mimi ni Tapeli!
Treni kabla haijafika Dar, nikalia lia sana hapa JF nikiomba nisaidiwe nitakapo fika, lakini watu wanazidi kusisitiza "eti, mimi ni tapeli" Huku simu nayo imekaribia kuisha chaji, na treni ndiyo imeshafika Pugu.
Simu ikaisha chaji!
Na hapo niweshawafuata watu kadhaa PM hapa JF akiwemo manengelo na wengine wengi.
Wengine wananipigia simu, ila hawaongei, ambao walisema watanisaidia nikifika, wananiambia kwamba wako Safarini, kwahiyo hawataweza kunisaidia.
Mpaka hapo, nimebaki na elfu moja na mia nne tu.
Baada ya kukosa mtu wa kunipokea, nikaanza kuzurura hapa mjini. Nimezurura sana, na begi langu mgongoni huku nikitembea bize kama wenyeji wa mji wanavyo tembea. Naendelea hapo chini, maana hapa simu imefika mwisho wa kuandika, Kwahiyo naendelea hapo chini!
Tena ni kiki matata[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyu.mjamaa kaweza kufungua mwaka kwa KIKI matata humu jf
kuna maboya watajaaa na KIKI yake humu
Sent using Jamii Forums mobile app
dah kweli nzi hutembea na wanaofanana mzee siku ya kwanza mjinijana tu ushaanza umende..shauri yako hao mchicha mwiba ukimaliza naye anakuombaJamaa huyo (Nadhani ni shoga)
Akaniuliza, unaweza kufuga kuku? Nikamwambia ndiyo, (kwa furaha kubwa) Akasema, kuna mama wa kichaga wiki mbili nyuma alikuwa anahitaji kijana wa kuhudumia kuku, kwahiyo kama uko tayari jioni uje nikupeleke kwake!
Hapo nikafurahi sana, tena sana, maana napenda sana kuhudumia kuku!
Basi tukaenda mpaka kwake, aise jamani nyie acheni, kumbe yule jamaa ni shoga kweli, nimefika kwake, mambo ya kunisaidia kuipata ile kazi ya kuhudumia kuku yakaisha, mala akaanza kunisifia kuwa nina maumbile mazuri, mala sijui nini, mambo mengi kweli, (Rejea mwanzo alivyokuwa anamsifia yule teja pale jangwani) Sasa jamaa mala anasema, eti, unavaa suruali saizi gani? Kuna suruali nataka nikupe, hebu simama hapo nikuone kiuno chako!
Sasa mpaka hapo, mimi nikawa nimeshagundua wazi huyu ni Shoga. Ila kwakuwa jamaa ni laini sana, sikuwa na shaka, maana mimi ni kijana mwenye nguvu, na yeye ni laini tu!
kwahiyo akiniletea ujinga, lazima nimzibue! Simu haiwezi kuandika maneno mengi ,naendelea hapo chini.
ila wewe mbona kama unatafuta kiki mkuu???haya wacha tuendelee kuangalia Hili movie la kihindiBaada ya kupigana hapa na pale humu JF nikiwaomba mnisaidie hata kibarua ili nipate hela ya kula nitakapofika Dar, Maombi yangu yanaonekana ni upuuzi!
Watu wananiita mimi ni Muongo, na wengine wakasema mimi ni Tapeli!
Treni kabla haijafika Dar, nikalia lia sana hapa JF nikiomba nisaidiwe nitakapo fika, lakini watu wanazidi kusisitiza "eti, mimi ni tapeli" Huku simu nayo imekaribia kuisha chaji, na treni ndiyo imeshafika Pugu.
Simu ikaisha chaji!
Na hapo niweshawafuata watu kadhaa PM hapa JF akiwemo manengelo na wengine wengi.
Wengine wananipigia simu, ila hawaongei, ambao walisema watanisaidia nikifika, wananiambia kwamba wako Safarini, kwahiyo hawataweza kunisaidia.
Mpaka hapo, nimebaki na elfu moja na mia nne tu.
Baada ya kukosa mtu wa kunipokea, nikaanza kuzurura hapa mjini. Nimezurura sana, na begi langu mgongoni huku nikitembea bize kama wenyeji wa mji wanavyo tembea. Naendelea hapo chini, maana hapa simu imefika mwisho wa kuandika, Kwahiyo naendelea hapo chini!
Mimi mwenyew nimeishaingia mzimamzima kwenye huu uzi....hahahahahahahaha jamani kumbe vipaji vingi havijaibuliwa![emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyu.mjamaa kaweza kufungua mwaka kwa KIKI matata humu jf
kuna maboya watajaaa na KIKI yake humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hongera kwa moyo safi na wa huruma. Msaidie pa kulala.😂😂😂bas naye hakuwa anasoma comments zetu...mie nilishamwambi sipPend dar..lol nakuaje tena huko...nimemwambia lakini ukikosa kbs pa kulala anialert