Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Vijana wa Dar mnashindwaje kujioganize vijana watatu mpaka wa tano muonane na huyu kijana muongee naye na kuridhika kama asemayo ni kweli?

Mim sipo Dar ila kama anayosema ni kweli nipo tayari kumsaidia pesa kidogo sana ya kuendelea kujikimu na kama ni tapeli pia nitahakikisha atalala kituo chochote cha polisi kilicho karibu na yeye.

Nipo serious mtoa mada nitafute nikupe nilichokuahidi au mahabusu.
mkuu achague moja msaada au mahabusu😀😀😀
 
Tuacheni mazoea basi, mimi nimejiweka wazi kabisa ili nisaidiwe, ajabu watu mnasema mimi ni tapeli! Acheni hivo, Unaposema mimi ni tapeli, Umekaa na mimi nikakufanyia utapeli?
Au umekuja sehemu nilipo na hujanikuta? Tuacheni mambo ya utani jamani kwa inshu muhimu kama hizi za kusaidiana. Leo inanitokea mimi, kesho itakupata wewe, hata kama haitakupata wewe, itampata mwanao au hata mjukuu wako. Kuna mtu amenipigia simu anasema nimsubiri, muda wa mchana anakuja kunichukua hapa nilipo. Asanteni, nawasilisha! Kama mpaka hapo hujanielewa, basi endelea na unavyo amini kuhusu mimi.
 
manengelo anaonekana ni mkarimu sana.

Ngariba acha zako..huyu ni ndugu yako ..mkimbiz wa nchi yako..toa msaada wa hali na mali ww..mie km sumwamin sana..ila acha tuamin..
Sijui ana muscles aje nisaidia kukata fence🙊🙊🙊🙈🙈...unanishaurije😂😂😂!akiwa na umbo km avatar yako kwisha habari yake..tutamlea tu
😊😊cc@demi
 
Tuacheni mazoea basi, mimi nimejiweka wazi kabisa ili nisaidiwe, ajabu watu mnasema mimi ni tapeli! Acheni hivo, Unaposema mimi ni tapeli, Umekaa na mimi nikakufanyia utapeli?
Au umekuja sehemu nilipo na hujanikuta? Tuacheni mambo ya utani jamani kwa inshu muhimu kama hizi za kusaidiana. Leo inanitokea mimi, kesho itakupata wewe, hata kama haitakupata wewe, itampata mwanao au hata mjukuu wako. Kuna mtu amenipigia simu anasema nimsubiri, muda wa mchana anakuja kunichukua hapa nilipo. Asanteni, nawasilisha! Kama mpaka hapo hujanielewa, basi endelea na unavyo amini kuhusu mimi.


pole kaka ...sema km una kaukomedi fulan hv maana mm nacheka tu hapa... siku ukikosa ya kula nipm😊..ukikosa pakulala nipiyemu.....
 
Baada ya kupigana hapa na pale humu JF nikiwaomba mnisaidie hata kibarua ili nipate hela ya kula nitakapofika Dar, Maombi yangu yanaonekana ni upuuzi!
Watu wananiita mimi ni Muongo, na wengine wakasema mimi ni Tapeli!

Treni kabla haijafika Dar, nikalia lia sana hapa JF nikiomba nisaidiwe nitakapo fika, lakini watu wanazidi kusisitiza "eti, mimi ni tapeli" Huku simu nayo imekaribia kuisha chaji, na treni ndiyo imeshafika Pugu.
Simu ikaisha chaji!
Na hapo niweshawafuata watu kadhaa PM hapa JF akiwemo manengelo na wengine wengi.
Wengine wananipigia simu, ila hawaongei, ambao walisema watanisaidia nikifika, wananiambia kwamba wako Safarini, kwahiyo hawataweza kunisaidia.
Mpaka hapo, nimebaki na elfu moja na mia nne tu.

Baada ya kukosa mtu wa kunipokea, nikaanza kuzurura hapa mjini. Nimezurura sana, na begi langu mgongoni huku nikitembea bize kama wenyeji wa mji wanavyo tembea. Naendelea hapo chini, maana hapa simu imefika mwisho wa kuandika, Kwahiyo naendelea hapo chini!

😂😂zurura kidg na leo mkuu...pole bwana...lakini si umekula?
 
Hata hamna neno mmoja ya shukrani kwa yule jamaa. Hata akiwa shoga, bado alikulisha chakula na kukupatia sehemu ya kulala. Tena ametoa Sh 600, ya nauli kwenda Kariakoo! Umemalizia kusema "Na hapa nimeachana nae", na unamsubiri mtu mwingine. Shukrani mbona imekua adimu namna hii duniya hii????!
 
Nauli unayo ulipo? Kama unayo uliza mtu nataka kwenda tabata barakuda ukifika hapo kituoni ni pm namba yako /
Tuacheni mazoea basi, mimi nimejiweka wazi kabisa ili nisaidiwe, ajabu watu mnasema mimi ni tapeli! Acheni hivo, Unaposema mimi ni tapeli, Umekaa na mimi nikakufanyia utapeli?
Au umekuja sehemu nilipo na hujanikuta? Tuacheni mambo ya utani jamani kwa inshu muhimu kama hizi za kusaidiana. Leo inanitokea mimi, kesho itakupata wewe, hata kama haitakupata wewe, itampata mwanao au hata mjukuu wako. Kuna mtu amenipigia simu anasema nimsubiri, muda wa mchana anakuja kunichukua hapa nilipo. Asanteni, nawasilisha! Kama mpaka hapo hujanielewa, basi endelea na unavyo amini kuhusu mimi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom