Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Shaka si umsadie mwenzio.by Don@

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mkuu tuambie kilichotokea mlipolala usiku?
 
Yaani wewe badala ya kwenda dodoma capital city unakuja mkoani dar!!!!
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana hapo kwenye kulala polisi nina uhakika asilimia 100 hawezi kukutafuta
 
Nimecheka sana. Wewe huchelewi kumpangia kazi nyingine.
 
Acha uongo basi, PM Nimesha mfuata, ila hajanijibu. Halafu acha kusema una uhakika 100% Nime mtafuta, ila yeye ndiyo hanijibu.
Kwahiyo acha mazoea!

Nasubiria ulazwe polisi maana mmezidi kutulea story za uomgk
 
Nimecheka sana. Wewe huchelewi kumpangia kazi nyingine.

😂😂😂 Oh Lawd..tatizo umeacha kbs kuniamini..!hawa ndo wanatuofanya siku zisonge mkuu...sema ww ulikataa ile proposal yangu ya kazi ileee😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…