Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Hapo Valentine hotel pembeni kwenye nyama choma kuna wadada poa wazuri.


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
Ni mara ya pili nafika hapa sijawahi waona
 
Waha buana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daudi uko Tanzania au, Kona bar ipi, ni vizuri mkamuelekeza mfano now yuko makumbusho mwambie apande gari za kwenda wapi na ashukie wapi......

Sent using Jamii Forums mobile app
424 area code ya California


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Nimesoma huu uzi kwa makini,nasikitika kusema huyu jamaa ni tapeli na hawezi kukubali kuonana na mwana jf yoyote..ukiangalia kwa makini amekuwa ni mtu wa kukwepa kuonana na wana jf kwa akili sana
@iwambi tupo pamoja njia anazopita huyu jamaa yao nizilishapitwa kitambo sana mi mwenyewe nasubiri akutane na mwana Jf yeyote atupe feedback

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mara ya pili nafika hapa sijawahi waona
Unahitaji mwenyeji akuoneshe huwa wanapita pita hapo na kusimama kila wakati.


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Nimesoma huu uzi kwa makini,nasikitika kusema huyu jamaa ni tapeli na hawezi kukubali kuonana na mwana jf yoyote..ukiangalia kwa makini amekuwa ni mtu wa kukwepa kuonana na wana jf kwa akili sana
Nani anakwepa? Mbona unakuwa na akili kisoda namna hiyo jamani kaka?
 
Nimesoma huu uzi kwa makini,nasikitika kusema huyu jamaa ni tapeli na hawezi kukubali kuonana na mwana jf yoyote..ukiangalia kwa makini amekuwa ni mtu wa kukwepa kuonana na wana jf kwa akili sana
Inawezekana unayosema lakini ukiangalia upande wa pili tapeli hawezi kukwambia alipo kwa sasa huyu anakwambia alipo, na anakupigia simu pia na kutaka kuonana na mtu. Tapeli mara nyingi huweka mawasiliano ya kutumiwa hela sio kukutana. Tatizo lake huyu mgeni hajui apande gari ipi na ashuke wapi. Kama ushawahi kusafiri nadhani utamuelewa vyema sana.


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Nani anakwepa? Mbona unakuwa na akili kisoda namna hiyo jamani kaka?
Wewe unakwepa...sema hapa umefikia wapi na wana jf wote waliokwambia muonane...tena kuna jamaa kakuahidi kazi mbona hutaki kuleta mrejesho mmefikia wapi tapeli mkubwa wewe...utawatapeli haohao ndugu yangu na huo ujanja wako unamwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…