Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

For your Information... Jana alikua hayupo online na tunaofatilia tukawa tunajiuliza kapatawa na nini mpk wengine wakatania kwamba katekwa, kaingizwa mjini, kaibiwa simu, simu imeisha chaji etc. Leo ndio kaingia online na kuleta mrejesho yaliyomsibu jana! Stop being too Judgemental guys.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee kwani simu uliyofungulia account jf ni lazima uendelee kuitumia hiyo hiyo tu?

Kuhusu alikochaji ni kwamba jamaa alipofika Dar siku ya jana simu ilikuwa imeisha chaji ( nadhan ungefuatilia tangu mwanzo ungefaham hili) alipofika Dar akakutana na mtu so member wa jf ambayo akamsaidia sehem ya kulala bila shaka alichaji simu hapo hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…