Nimeshafika hapa, jamaa alisema nimtafute, ajabu hata PM Hataki kunijibu.
Dogo tulia kwanza kama nusu saa hivi ukiona hapatikani tafuta msikiti uliopo karibu hapo au kanisa nenda kalale watakuruhusu tu usipanicNimeshafika hapa, jamaa alisema nimtafute, ajabu hata PM Hataki kunijibu.
Yanini kuishi kwa mashaka, mtu kaleta story yake, wametaka uthibitisho wameupata sasa wamezua lingine la usalama, kwani hao usalama hawana shughuli za kufanya?
Huyo jamaa jinga sanaWee jamaa futa comment yako hii. Sio vizuri kuleta ujuaji kwenye matatizo ya wenzio. Ipo siku yako kaka dunia duara hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujakosea. Ulipaswa kumualert hata kabla hujaanza safari na ikiwezekana ungemualert kila baada ya dakika chache. Huwez jua hapo Barakuda ni kazini kwake na sasa amesharud nyumban bila kukujulisha aidha baada ya kuona haufik au kwa kusahau tu. Kutojibu PM inatokana na yeye kutokuwa online au sababu nyingine.Nimeshafika hapa, jamaa alisema nimtafute, ajabu hata PM Hataki kunijibu.
Kama ni muislam nenda msikitini. Tafuta msikiti uliopo karibu na hapo barakuda utalalaNa sijui nitampataje!
Jamaa kaingia mitini,amejitapa hapa kumbe hata choo hana...
Mkuu hujaizoea tu JF?? Halafu Billgert huwa mtu wa masiharaYanini kuishi kwa mashaka, mtu kaleta story yake, wametaka uthibitisho wameupata sasa wamezua lingine la usalama, kwani hao usalama hawana shughuli za kufanya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jamaa alimwambia dogo anamsubiria hapo akifika a-PM namba yake ..Hujakosea. Ulipaswa kumualert hata kabla hujaanza safari na ikiwezekana ungemualert kila baada ya dakika chache. Huwez jua hapo Barakuda ni kazini kwake na sasa amesharud nyumban bila kukujulisha aidha baada ya kuona haufik au kwa kusahau tu. Kutojibu PM inatokana na yeye kutokuwa online au sababu nyingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Cc manengeloPole sn, mtafute manengelo alisema ukikosa pa kulala mtafute akuombee kwa ndugu yake. Usiondoke hapo Barakuda tulia kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona na ww umefungua ID mpya...Labda ameshalala
Homosapiens
Yaani nimeacha kazi zote nafatilia huu uzi
Biashara ya kuuza NziNaona na ww umefungua ID mpya...
Mnataka kufungua biashara gani na mwezio?
Sent using Jamii Forums mobile app
Endeleeni na kazi yenu.Biashara ya kuuza Nzi
Homosapiens
[emoji3][emoji3][emoji3]kwaiyo na ww ndo unaeka kibwagizo cha naendelea apo chiniMkuu mi namfuatilia kwenye huu uzi nijue hatma yake hasa kwa sababu ukiangalia mwanzo wa huu uzi jamaa kawa creative sana kwa kuiandika topic yake na ndani katia story amabayo imewavutia wengi kuusoma. Uandishi wake wa mkato mkato na kusema "ninaendelea hapo chini" utarudi tu kusoma kujuwa kilichoendelea hasa ukizingatia katika story yake kamuingiza "shoga" mpaka hapo nahisi utakuwa umenipata chief.
Ujibuji wake ni wa hekima na ni vigumu kwa mtu wa darasa la saba kuandika hivi. Kuna mengi nayafikiria kuhusu huyu dogo nahisi kuna kitu anatuficha amabacho anakihitaji ni zaidi ya msaada wa kazi kama thread inavyojieleza.
Tuendelee kuangalia hii movie inaishaje., naendelea hapo chini
Sent using Jamii Forums mobile app