We nae! Ulimwona wakati analala hapo stendi au upo nae hapo?Sapiens huyu dogo analalaje stand hakuna usalama wowote baaada ya kwenda kwenye nyumba za ibada atapata msaada. Hapa ndipo anaanza kunipa mashaka huyu dogo
Naendelea hapo chini...
Kikune tuI wish nkikune
Hahahaaha Toby namsahau vipi mkuu?? Temba aisee kitambo sana mkuu inabidi nikija nikutafute aisee najua utakuwa umefanya harakati nyingi hasa umenihamasisha niliposikia Lunduno dahHahaha Godzila pale nimekimbiza sana na rafiki yangu anaitwa Maganga alikuwa anacheza sana Stone miaka hiyo.Kwahiyo kina Temba walikuwa wanacheza Godzila,wakina Toby muuza matunda wote unawakumbuka? Godzila saivi kama ulivyosema hakuna tena uwanja
Sorry, we me au ke?Hahaha Godzila pale nimekimbiza sana na rafiki yangu anaitwa Maganga alikuwa anacheza sana Stone miaka hiyo.Kwahiyo kina Temba walikuwa wanacheza Godzila,wakina Toby muuza matunda wote unawakumbuka? Godzila saivi kama ulivyosema hakuna tena uwanja
Haya sasa, team inazidi kuongezeka!Nimekutana na jamaa kijitonyama shule, ninathibitisha jamaa ana uhitaji aisee, na wala siyo tapeli wala furahisha genge, sina kazi ya kumpa ila nimemsaidia kumpeleka kituoni makumbusho na kumpandisha gari la segerea ili ashuke hapo baracuda, aliye na nia ya kumsaidia amsaidie, nimeambatanisha pixha yake amenipa ruhusa ya kufanya hivyo ili mumuaminiView attachment 985989
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilijua na wewe umetoa hela? Kumbewametoa wengine ambao hata sio ndugu zako? Hao wametoa kwa imani na imani yao itawaponya. Hiyo ni sadaka tu suala la utapeli ni juu yake mwenyew aliyepewa.Nakazia wote waliotoa pesa zao na wanaoendelea kumuamini huyu tapeli wameliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesoma comment niliyoiquote bidada?? Hebu angalia nimequote comment inasemaje.
Karibu sana mkuu.Lunduno kuna chumba cha kukaa huyu dogo ila sasa watu waliopitia replies zake wanasema ni tapeli.Sijawaamini na hata dogo pia sijamwamini ila akiwa mwaminifu kule kulala sio shidaHahahaaha Toby namsahau vipi mkuu?? Temba aisee kitambo sana mkuu inabidi nikija nikutafute aisee najua utakuwa umefanya harakati nyingi hasa umenihamasisha niliposikia Lunduno dah
Naendelea hapo chini...
Uwii sorry. nisamehe MkuuUmesoma comment niliyoiquote bidada?? Hebu angalia nimequote comment inasemaje.
Naendelea hapo chini...
Karibu sana mkuu.Lunduno kuna chumba cha kukaa huyu dogo ila sasa watu waliopitia replies zake wanasema ni tapeli.Sijawaamini na hata dogo pia sijamwamini ila akiwa mwaminifu kule kulala sio shida
Umenikwaza mkuu nimejisikia vibaya mimi mwenzio
😂😂😂ww unakuwaga ume🍺??😂😂mbn unamix madesa sana
Kama amesaidia kiasi hicho cha pesa basi bana haja ya kulala stand wala msikitini wala kanisania, anauwezo wa kulala nyumba ya wageniAcha dharau wewe, jamaa amesaidiwa almost laki tatu mpaka sasa hivi.
Kwa kuwa umetoa namba ya mawasiliano na amesema anaipiga hiyo namba ngoja tumuone kama atafanya hivyo.Karibu sana mkuu.Lunduno kuna chumba cha kukaa huyu dogo ila sasa watu waliopitia replies zake wanasema ni tapeli.Sijawaamini na hata dogo pia sijamwamini ila akiwa mwaminifu kule kulala sio shida
Kweli kabisaKama amesaidia kiasi hicho cha pesa basi bana haja ya kulala stand wala msikitini wala kanisania, anauwezo wa kulala nyumba ya wageni
Sent using Jamii Forums mobile app
Dadequeeee aisee usinifananishe na mtu me ni Robot maana nnavotafutwa unaeza kuta mtu anauawa kwa kufanana na mimi
Nimekusamehe mimi weweee. Hiyo mishkaki nitashushia na kakakola [emoji39]nisamehe sana. I really mean it. Hata mm pia nimejiskia vby kukukwaza, ukinsamehe ntakukaribisha kula Mishkaki kwa Picha [emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app