Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Hahaha Godzila pale nimekimbiza sana na rafiki yangu anaitwa Maganga alikuwa anacheza sana Stone miaka hiyo.Kwahiyo kina Temba walikuwa wanacheza Godzila,wakina Toby muuza matunda wote unawakumbuka? Godzila saivi kama ulivyosema hakuna tena uwanja
Hahahaaha Toby namsahau vipi mkuu?? Temba aisee kitambo sana mkuu inabidi nikija nikutafute aisee najua utakuwa umefanya harakati nyingi hasa umenihamasisha niliposikia Lunduno dah

Naendelea hapo chini...
 
Hahaha Godzila pale nimekimbiza sana na rafiki yangu anaitwa Maganga alikuwa anacheza sana Stone miaka hiyo.Kwahiyo kina Temba walikuwa wanacheza Godzila,wakina Toby muuza matunda wote unawakumbuka? Godzila saivi kama ulivyosema hakuna tena uwanja
Sorry, we me au ke?
 
Nimekutana na jamaa kijitonyama shule, ninathibitisha jamaa ana uhitaji aisee, na wala siyo tapeli wala furahisha genge, sina kazi ya kumpa ila nimemsaidia kumpeleka kituoni makumbusho na kumpandisha gari la segerea ili ashuke hapo baracuda, aliye na nia ya kumsaidia amsaidie, nimeambatanisha pixha yake amenipa ruhusa ya kufanya hivyo ili mumuaminiView attachment 985989

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya sasa, team inazidi kuongezeka!
Namna hii mtawakamata wengi wasiojitambua, wewe pia ni Tapeli mwenzake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaha Toby namsahau vipi mkuu?? Temba aisee kitambo sana mkuu inabidi nikija nikutafute aisee najua utakuwa umefanya harakati nyingi hasa umenihamasisha niliposikia Lunduno dah

Naendelea hapo chini...
Karibu sana mkuu.Lunduno kuna chumba cha kukaa huyu dogo ila sasa watu waliopitia replies zake wanasema ni tapeli.Sijawaamini na hata dogo pia sijamwamini ila akiwa mwaminifu kule kulala sio shida
 
Karibu sana mkuu.Lunduno kuna chumba cha kukaa huyu dogo ila sasa watu waliopitia replies zake wanasema ni tapeli.Sijawaamini na hata dogo pia sijamwamini ila akiwa mwaminifu kule kulala sio shida
Kwa kuwa umetoa namba ya mawasiliano na amesema anaipiga hiyo namba ngoja tumuone kama atafanya hivyo.

Naendelea hapo chini...
 
Back
Top Bottom