Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Mkuu niko upande wako napingana na wote wanaomdhania janja ni tapeli! Mungu akubariki sana kwa vile ulivyotoa kwaajili yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale wanaozamia meli na kwenda ulaya? Mbona wapo wengi wanakwenda South Africa au China hawajui wapi pa kufikia. Sijajibu hapa kwa kumtetea dogo ila naipinga hii hoja yako.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Jamani huyo ni muongo kasema yupo kwenye gari nimsubiri barakuda tabata nimeganda ofisini mpaka saa 3 usiku hajatokea toa namba hatoi...sasa mnaomsaidia endeleeni mimi nimejitoa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiangali comment ya dogo kufika baracuda ilikuwa ni saa mbili na nusu kama sikosei ila ni mida hiyo kabla ya saa tatu na alikuwa akisema eti kuwa eti wewe hujibu PM alizokutumia eti. Sasa na wewe umekaa ofisini unamsubiri eti mpaka saa tatu eti hujaona Pm eti. Dogo anaweza kuwa tapeli huyu eti.

Naendelea hapo chini...
 
Atlist tungepata uthibitisho kutoka kwa watu watatu au zaidi maana onthe other side unaweza kukuta hao jamaa ni mtandao mmoja, all in all tunahitaji kujiridhisha ndio nia yetu, hatupo hapa kwa ajili ya kumjudge ila lazima tujiridhishe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu niko upande wako napingana na wote wanaomdhania janja ni tapeli! Mungu akubariki sana kwa vile ulivyotoa kwaajili yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu amefika hadi baracuda kufuata kazi aliyoahidiwa bado wanamuona chenga, dogo kakimbia hali ngumu alipotoka kuja kutafuta maisha na simu yake ni tecno ya button hana smart phone, huko alipotoka kapigika haswa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili sakata kama la korosho mara wenye korosho waoneshe mashamba
 
Hakika mkuu. Lengo ni kujiridhisha

Naendelea hapo chini...
 
Nimeongea naye.
Yupo Mbezi Magari saba (sina uhakika kama nimepatia.)
Ila amepata msamaria mwema wa kwenda kulala kwake hivyo huyo msamaria mwema amesema anatuma pikipiki imfuate hapo alipo.
So ndiyo anasubiri.
Ila kuhusu kazi ndiyo bado hajapata.
So aliamua kuchomoka toka baracuda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…