Hapa kuna kamchezoUkimya ulitawala,Dogo hakupatikana hakika hatukujua yuko wap.
Ghafla mdau mmoja akaomba namba ili aweze kuitrace namba...
Majibu ya Mdau yakasema amefanikiwa kuitrace namba Mbezi Stand. ...Muda si Muda cute b amefanikiwa kumpata tena hewani...
Tunapata Jibu tena kutoka kwa Bidada kuwa Dogo yupo Mbezi..Na Muda haupiti nae Dogo anaibuka kutokea kusikojulikana anaipa nguvu kauli ya Bidada kuwa yupo Mbezi
Hivi punde ameshafanikiwa kupanda Bodaboda anazidi kutokomea huko Mbezi. .
BADo TUNAFUATILIA
Sent using Jamii Forums mobile app
Hd TechnologyMkuu unatumia app gani kusoma hizi gps? Au unazisomaje?
Sawa mkuuHapo kachomoka dakika 8 zilizopita,,,,,GPS inakua week mana anamove,.........Please wait.....View attachment 986285
Sent using Jamii Forums mobile app
Inakubali simu yoyote ya smart?
Doubt1.Kaitwa barakuda, aliyemwita hakujitokeza then akamsubiri akala akamaliza bila mwenyewe kujiyokeza mkuu deadbody kampatia namba apige baadae akasema anampigia akimaliza kula before hajatupa mrejesho anatuambia kuna mtu wa Amemwita mbezi hafu anasema anamtafuta hajibu. Mara mkuu tripp aliyemwita kajitokeza anasema kua hajamwona kamsubiria hajatokea.!!!! Muda huo huo anatwambia yuko kwa boda aende huko mbezi ukizingatia ashasema jamaa anacomplain simu haina moto..!!
Sio kwamba ni kukwepa kukutana na JF member??
Trying to connect Dots... world is full of fake people. .. mtu anakuita mkutane hafu hatokei.. Au anakundanganya alipo
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Umenena kabisa....wataaibika watu akyanan....saf sanaAkisema alete utapeli labda ahame nchi.Kama kutakuwa na malalamiko yoyote waliotuma pesa watume meseji za miamala na pia wanitumie namba zao Wasap,ntaweka namba ya Wasap hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu me nimeongea nae pamoja huyo mwenyeji wake wa mbezi magari saba ameshampokea! Ondoa hofu1.Kaitwa barakuda, aliyemwita hakujitokeza then akamsubiri akala akamaliza bila mwenyewe kujiyokeza mkuu deadbody kampatia namba apige baadae akasema anampigia akimaliza kula before hajatupa mrejesho anatuambia kuna mtu wa Amemwita mbezi hafu anasema anamtafuta hajibu. Mara mkuu tripp aliyemwita kajitokeza anasema kua hajamwona kamsubiria hajatokea.!!!! Muda huo huo anatwambia yuko kwa boda aende huko mbezi ukizingatia ashasema jamaa anacomplain simu haina moto..!!
Sio kwamba ni kukwepa kukutana na JF member??
Trying to connect Dots... world is full of fake people. .. mtu anakuita mkutane hafu hatokei.. Au anakundanganya alipo
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Baada ya kupigana hapa na pale humu JF nikiwaomba mnisaidie hata kibarua ili nipate hela ya kula nitakapofika Dar, Maombi yangu yanaonekana ni upuuzi!
Watu wananiita mimi ni Muongo, na wengine wakasema mimi ni Tapeli!
Treni kabla haijafika Dar, nikalia lia sana hapa JF nikiomba nisaidiwe nitakapo fika, lakini watu wanazidi kusisitiza "eti, mimi ni tapeli" Huku simu nayo imekaribia kuisha chaji, na treni ndiyo imeshafika Pugu.
Simu ikaisha chaji!
Na hapo niweshawafuata watu kadhaa PM hapa JF akiwemo manengelo na wengine wengi.
Wengine wananipigia simu, ila hawaongei, ambao walisema watanisaidia nikifika, wananiambia kwamba wako Safarini, kwahiyo hawataweza kunisaidia.
Mpaka hapo, nimebaki na elfu moja na mia nne tu.
Baada ya kukosa mtu wa kunipokea, nikaanza kuzurura hapa mjini. Nimezurura sana, na begi langu mgongoni huku nikitembea bize kama wenyeji wa mji wanavyo tembea. Naendelea hapo chini, maana hapa simu imefika mwisho wa kuandika, Kwahiyo naendelea hapo chini!
Sijahukumu nimetoa mtazamo.. siwez sema tapeli.. najua nami niliyoyapita na ninayoyapitia... ukizingatia nishaomba msaada humuMkuu me nimeongea nae pamoja huyo mwenyeji wake wa mbezi magari saba ameshampokea! Ondoa hofu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa siku ilikuja kuwaka ghafla? Maana iliisha chaji etiiMkuu me nimeongea nae pamoja huyo mwenyeji wake wa mbezi magari saba ameshampokea! Ondoa hofu
Sent using Jamii Forums mobile app
yaani unakuja mjini huna hata mia,dogo panda treni rudi kwenu malinda yako yako hatarini sanaBaada ya kupigana hapa na pale humu JF nikiwaomba mnisaidie hata kibarua ili nipate hela ya kula nitakapofika Dar, Maombi yangu yanaonekana ni upuuzi!
Watu wananiita mimi ni Muongo, na wengine wakasema mimi ni Tapeli!
Treni kabla haijafika Dar, nikalia lia sana hapa JF nikiomba nisaidiwe nitakapo fika, lakini watu wanazidi kusisitiza "eti, mimi ni tapeli" Huku simu nayo imekaribia kuisha chaji, na treni ndiyo imeshafika Pugu.
Simu ikaisha chaji!
Na hapo niweshawafuata watu kadhaa PM hapa JF akiwemo manengelo na wengine wengi.
Wengine wananipigia simu, ila hawaongei, ambao walisema watanisaidia nikifika, wananiambia kwamba wako Safarini, kwahiyo hawataweza kunisaidia.
Mpaka hapo, nimebaki na elfu moja na mia nne tu.
Baada ya kukosa mtu wa kunipokea, nikaanza kuzurura hapa mjini. Nimezurura sana, na begi langu mgongoni huku nikitembea bize kama wenyeji wa mji wanavyo tembea. Naendelea hapo chini, maana hapa simu imefika mwisho wa kuandika, Kwahiyo naendelea hapo chini!
Bora! Pole kwa mizunguko kwa kweli.Nimefika Kwa Jamaa, Na Hapa Nimemaliza Kuoga. Naenda Kulala. Kesho Wakuu.
usitiririke sana hapa mkuu ni bora uendelee kwa chiniYeah lets wait and see
We endelea hapo chini mkuu usiwe na wasiwasi,
Nawasiwasi huyu ni mwanachama mkongwe sema anatumia new ID kwa lengo fulani, haiwezekani hauna hata wiki mbili JF unajua kucommennt, kumention majina na anaonekana ana uzoefu kupita maelezo wa kujipambanua kwenye thread, kubwa zaidi huwezi kuingia jamii forum just within a week ukaanza kutiririka matatizo yako na kuomba msaada
Anyway sitaki kumjudge sana ila sometimes we need to reason
Sent using Jamii Forums mobile app