Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Ukimya ulitawala,Dogo hakupatikana hakika hatukujua yuko wap.

Ghafla mdau mmoja akaomba namba ili aweze kuitrace namba...

Majibu ya Mdau yakasema amefanikiwa kuitrace namba Mbezi Stand. ...Muda si Muda cute b amefanikiwa kumpata tena hewani...

Tunapata Jibu tena kutoka kwa Bidada kuwa Dogo yupo Mbezi..Na Muda haupiti nae Dogo anaibuka kutokea kusikojulikana anaipa nguvu kauli ya Bidada kuwa yupo Mbezi


Hivi punde ameshafanikiwa kupanda Bodaboda anazidi kutokomea huko Mbezi. .

BADo TUNAFUATILIA

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa kuna kamchezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.Kaitwa barakuda, aliyemwita hakujitokeza then akamsubiri akala akamaliza bila mwenyewe kujiyokeza mkuu deadbody kampatia namba apige baadae akasema anampigia akimaliza kula before hajatupa mrejesho anatuambia kuna mtu wa Amemwita mbezi hafu anasema anamtafuta hajibu. Mara mkuu tripp aliyemwita kajitokeza anasema kua hajamwona kamsubiria hajatokea.!!!! Muda huo huo anatwambia yuko kwa boda aende huko mbezi ukizingatia ashasema jamaa anacomplain simu haina moto..!!

Sio kwamba ni kukwepa kukutana na JF member??
Trying to connect Dots... world is full of fake people. .. mtu anakuita mkutane hafu hatokei.. Au anakundanganya alipo

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Doubt

Naendelea hapo chini...
 
1.Kaitwa barakuda, aliyemwita hakujitokeza then akamsubiri akala akamaliza bila mwenyewe kujiyokeza mkuu deadbody kampatia namba apige baadae akasema anampigia akimaliza kula before hajatupa mrejesho anatuambia kuna mtu wa Amemwita mbezi hafu anasema anamtafuta hajibu. Mara mkuu tripp aliyemwita kajitokeza anasema kua hajamwona kamsubiria hajatokea.!!!! Muda huo huo anatwambia yuko kwa boda aende huko mbezi ukizingatia ashasema jamaa anacomplain simu haina moto..!!

Sio kwamba ni kukwepa kukutana na JF member??
Trying to connect Dots... world is full of fake people. .. mtu anakuita mkutane hafu hatokei.. Au anakundanganya alipo

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Mkuu me nimeongea nae pamoja huyo mwenyeji wake wa mbezi magari saba ameshampokea! Ondoa hofu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kupigana hapa na pale humu JF nikiwaomba mnisaidie hata kibarua ili nipate hela ya kula nitakapofika Dar, Maombi yangu yanaonekana ni upuuzi!
Watu wananiita mimi ni Muongo, na wengine wakasema mimi ni Tapeli!

Treni kabla haijafika Dar, nikalia lia sana hapa JF nikiomba nisaidiwe nitakapo fika, lakini watu wanazidi kusisitiza "eti, mimi ni tapeli" Huku simu nayo imekaribia kuisha chaji, na treni ndiyo imeshafika Pugu.
Simu ikaisha chaji!
Na hapo niweshawafuata watu kadhaa PM hapa JF akiwemo manengelo na wengine wengi.

Wengine wananipigia simu, ila hawaongei, ambao walisema watanisaidia nikifika, wananiambia kwamba wako Safarini, kwahiyo hawataweza kunisaidia.
Mpaka hapo, nimebaki na elfu moja na mia nne tu.

Baada ya kukosa mtu wa kunipokea, nikaanza kuzurura hapa mjini. Nimezurura sana, na begi langu mgongoni huku nikitembea bize kama wenyeji wa mji wanavyo tembea. Naendelea hapo chini, maana hapa simu imefika mwisho wa kuandika, Kwahiyo naendelea hapo chini!

Mkuu haueleweki, haumaniki, nilifikiri upo serious. Kumbe mzee wa story unawaharibia wengine wenye shida za ukweli.
 
Baada ya kupigana hapa na pale humu JF nikiwaomba mnisaidie hata kibarua ili nipate hela ya kula nitakapofika Dar, Maombi yangu yanaonekana ni upuuzi!
Watu wananiita mimi ni Muongo, na wengine wakasema mimi ni Tapeli!

Treni kabla haijafika Dar, nikalia lia sana hapa JF nikiomba nisaidiwe nitakapo fika, lakini watu wanazidi kusisitiza "eti, mimi ni tapeli" Huku simu nayo imekaribia kuisha chaji, na treni ndiyo imeshafika Pugu.
Simu ikaisha chaji!
Na hapo niweshawafuata watu kadhaa PM hapa JF akiwemo manengelo na wengine wengi.
Wengine wananipigia simu, ila hawaongei, ambao walisema watanisaidia nikifika, wananiambia kwamba wako Safarini, kwahiyo hawataweza kunisaidia.
Mpaka hapo, nimebaki na elfu moja na mia nne tu.

Baada ya kukosa mtu wa kunipokea, nikaanza kuzurura hapa mjini. Nimezurura sana, na begi langu mgongoni huku nikitembea bize kama wenyeji wa mji wanavyo tembea. Naendelea hapo chini, maana hapa simu imefika mwisho wa kuandika, Kwahiyo naendelea hapo chini!
yaani unakuja mjini huna hata mia,dogo panda treni rudi kwenu malinda yako yako hatarini sana
 
Yeah lets wait and see

We endelea hapo chini mkuu usiwe na wasiwasi,

Nawasiwasi huyu ni mwanachama mkongwe sema anatumia new ID kwa lengo fulani, haiwezekani hauna hata wiki mbili JF unajua kucommennt, kumention majina na anaonekana ana uzoefu kupita maelezo wa kujipambanua kwenye thread, kubwa zaidi huwezi kuingia jamii forum just within a week ukaanza kutiririka matatizo yako na kuomba msaada

Anyway sitaki kumjudge sana ila sometimes we need to reason

Sent using Jamii Forums mobile app
usitiririke sana hapa mkuu ni bora uendelee kwa chini
 
Back
Top Bottom