Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Ukifika Dar utakuta ndugu zako wanauza kahawa!mtaji sidhani hata dola 4usd inafika kila la kheri mkuu!itakuchukua 20years kutoboa kimaisha

Sent by Diaspora
Kuna jamaa ana duka kubwa kama la akina Mangi toka Rombo.
Kapata mtaji kwa kuuza kahawa. Mwazo alianza kutembeza ya mtu anapeleka hesabu mwishoni yeye ndio alikuwa bosi anapokea hesabu toka kwa vijana wake.

Kwa siku alikuwa anapokea zaidi ya 60,0000/- na halipi kodi wala ushuru wowote.

Kudharau kazi ndio kuna tuponza wengi. Hiyo hesabu ni zaidi ya 1.8 milion kwa mwezi amewazidi zaidi ya 40% ya kipato cha wana JF wengi. Hana Income Tax, VAT, PAYEE, Makato ya Social Fund, HESLB, n.k.
 
Hahahah uzi wetu wameufuta wameturudisha kwenye trailer bahana series yetu. Halafu wewe jana ulillala mapema sana why???

Naendelea hapo chini...
nimelala 00:46 na ilikuwa kama vile sijalala maana naiota tu hii seriesπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
bas aanzishe hyo biashara..tena huko hukk.magari 7
Mane hii safari ya dogo ukiifikiria sana bhana ni vile mungu ana miujiza yake usije kushangaa dogo akatoboa maisha akaja kuwa "Mcharo kawa mtaamu". Ukiangalia walio fanikiwa kimaisha wengi wanachukuwa maamuzi magumu yanayo wafanya waishi katika vipindi vigumu kwanza. Msije kumtafuta tu na kusema " Aise kawa mtaamu"

Naendelea hapo chini...
 
Yani huyoo fwala ana dharau biashara za watu...!! Japo kutoka kwenye kuuza kahawa yataka uwe na mipango hasaa mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila nikifumba macho namuona dogo akishangaa shangaa mataa ya mjini daslam, namuona dogo akiogopa kuvuka barabara

Naendelea hapo chini...
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Hayaa twende kwa Chini kidogo......
 
Yani huyoo fwala ana dharau biashara za watu...!! Japo kutoka kwenye kuuza kahawa yataka uwe na mipango hasaa mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Amini usiamini kuna kijana anaitwa Miki yupo kule Kitunda katoka kihivyo.

Kuna vijana Muha toka Kigoma zaidi ya watatu nawajua wametoka na kahawa.

Kuna Mangi sasa yupo kati 43 - 48yrs amesomesha watoto private school kwa biashara ya kahawa. Tena huyu hana vijana anauza mwenyewe ndoo 2 za lita 20 za kahawa na tangawizi lita 20 kwa siku.
 
Haya maghambo ni bukhe bukhe mgabo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…