Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Hiyo HR point of view isiwe ukomo wako wa kufikiri. Umeanza kuizungumza muda sana katika uzi huu.


Usipojiangalia tutakuweka kwenye kundi la malimbukeni. Period

Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi anaboa kwakweli huyu HR officer,ka wakwanza yeye kusomea hiyo ki2.....
Kila ki2 "from HR point of view"
Dogo ni mwelewa kuliko hata huyu msomi wa HR.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa mrejesho mujarab kabisa.
La nyongeza ni.... ebu mshauri kijana aepukane na lugha zenye hazina staha. Akibadilika na kupunguza ujuaji wa kipuuzi, pengine atafika mbali sana huko mbeleni
Wewe hapo ndio utakua mjuaji wa kipuuzi unazani kila mwomba msaada unaweza kumnyanyasa?? Kuna watu wazaz wao wana hela sana tu lakin hawajawah kunyenyekea kijingajinga kwa hao wazaz wao ili wawape mitaji, wanapambana kivyao. Nishindwe kumnyenyekea babangu nije nikunyenyekee wewe!!!! Si ajabu Aisee ana ndg wenye uwezo sana kukushnda hata wewe lakini HATAKI MSAADA WA MASIMANGO!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

wa kigoma
karibu fani yenu usanii wa mziki
-kuhuza kahawa
-uganga wa kila idara

vengine mtamalizia kwa hayo hapo utapiga kazi
 
Mkuu, sidhani kama lengo langu ilikua ni kumsimanga kijana.
Na pia niseme tu kwamba umewaza mbali na kujipa tafakari kwa kiwango chako cha juu kwenye kufikiri.
Mkuu, jana kijana alitoa maneno machafuko sana kwenye uzi wa jamaa flani aliekuja kuomba msaada wa chakula cha usiku pekee.
Anyway...... yawezekana nimekukosea pasipo mimi kutambua, Samahani sana mkuu...[emoji120]
 
God bless you.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hadi anaboa kwakweli huyu HR officer,ka wakwanza yeye kusomea hiyo ki2.....
Kila ki2 "from HR point of view"
Dogo ni mwelewa kuliko hata huyu msomi wa HR.

Sent using Jamii Forums mobile app
Alianza kuota kiburi.

Humu jukwaani kuna watu wamesoma sana sana, lakini hawaziabudu elimu zao.

Kila mtu akianza kujivunia elimu yake humu patachafuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh umeonesha uungwana wa hali ya juu.
 
Mkuu hizi hekima na busara unanunua wapi aisee?
 
Nina Jibapa lako hapa waswanu!

Umetumia busara sana Mkuu,nadhani labda alikua hajakuewa
 
Usijali atarudisha mrejesho mda sio mrefu... Utasikia anaimba ule wimbo wa Dar kugumu
 
Jamaaaaaaaaaaaaaaani. Hadi machozi ya furaha[emoji119][emoji119][emoji119][emoji14][emoji14][emoji14][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7].
Sis unajua vile nakupendaga. Basi nilikumiss sana dada yangu mimi mwenyewe.[emoji7][emoji7].
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…