Nakukumbusha tena, "acha kubeti" mwisho wa betting sio mzuri

Nakukumbusha tena, "acha kubeti" mwisho wa betting sio mzuri

Uko sahihi.
Lakin kuna kubet kibiashara na kubet kiburudan.
Tofaut yake ni kubet kibiashara ni unastake high kwa odd ndogo sana kama 1.2 kwa 100k or +
Unajikuta kila siku una 30k ya mafuta na lunch nje ya kipato halali.
Kwa wenye na baby walkers

Hiyo mbinu ndio mbaya zaidi. Unabet 100k kwa odds ya 1.2 unapata 20,000.
Unabet milioni moja kupata 200,000.
Mkeka miwili isipokubali kati ya kumi uko palepale. Inabidi uwe na winning percentage ya zaidi ya 80%

Risk vs reward ratio ni mbaya sana long run utashindwa tu.

Bora Yule anayeweka mkeka wa timu 25 akitumia buku kwa odds kama 200/1 Akifaulu mara moja anapata laki mbili akienda na over 0.5 goals, over 2.5 yellow cards or over au over 5 corners combination hizo zote.

Mwisho wa siku ni bora hizo nguvu uwekeze kuwa hata dalali wa nyumba, magari, mashamba nk. Hata kuuza vitu mitandaoni. Uwezo wako tu wa kuaminika na kuongea.
 
if you happen to brush shoulders with me by accident, play Lotto
9 out of 10 times you gon' win, niqqa.

Play the game, sure to win
They all up on me, know they wants my ends
I sacrifice, I roll the dice
I love my hood, I love my life.
 
Uko sahihi.
Lakin kuna kubet kibiashara na kubet kiburudan.
Tofaut yake ni kubet kibiashara ni unastake high kwa odd ndogo sana kama 1.2 kwa 100k or +
Unajikuta kila siku una 30k ya mafuta na lunch nje ya kipato halali.
Kwa wenye na baby walkers
Fikiria hivi ukipoteza hiyo 100K kwenye bet yako ya kwanza itabidi utumie 500K nyingine kwa 1.2 odds kurudisha hela yako 100K.

Hapo una-chase kurudisha hasara. Emotions zako ziko all over the place. Lazima uliwe kichwa.
 
Habari ya shamba n tofauti na izi betting wakubwa......shambani kama uliandaa ili upate gunia 30 za mahindi.....ikitokea wakati wa mavuno hujata gunia 30 bas lazima utapata 10-15. Utasonga mbele kimaisha unajianda n msimu ujao. Ila betting utaweka laki 5 kwenye betting ukiliwa safari ata nusu upati kwanini usiwe kichaaa
Nasikia siku hizi kuna cash out kwahiyo na kwenyewe unaweza kupata chochote kitu
 
Hiyo mbinu ndio mbaya zaidi. Unabet 100k kwa odds ya 1.2 unapata 20,000.
Unabet milioni moja kupata 200,000.
Mkeka miwili isipokubali kati ya kumi uko palepale. Inabidi uwe na winning percentage ya zaidi ya 80%

Risk vs reward ratio ni mbaya sana long run utashindwa tu.

Bora Yule anayeweka mkeka wa timu 25 akitumia buku kwa odds kama 200/1 Akifaulu mara moja anapata laki mbili akienda na over 0.5 goals, over 2.5 yellow cards or over au over 5 corners combination hizo zote.

Mwisho wa siku ni bora hizo nguvu uwekeze kuwa hata dalali wa nyumba, magari, mashamba nk. Hata kuuza vitu mitandaoni. Uwezo wako tu wa kuaminika na kuongea.
Sikatai mbinu yako lakin kama umefanya majarbio ya kutosha utagundua ni hatari triple kuchagua mechi nying. Haijalish kwa odds gani.
 
Sikatai mbinu yako lakin kama umefanya majarbio ya kutosha utagundua ni hatari triple kuchagua mechi nying. Haijalish kwa odds gani.
Mimi sibeti. Nilipiga mahesabu nikaona hii sio pesa rahisi, gharama ni kubwa sana. Haina tija kwangu.

Nashauri, na ni ushauri tu, bora kufanya vitu vilivyo na tija. Mwisho wa kubet ni kilio, hasa kama huna ajira na unategemea betting kama ajira.

Huo muda na hio akili inaweza kutumika vizuri kwa mambo ya msingi.
 
Well Maisha hayako na mbinu moja ya kufanikiwa,
Ila Mara nyingi ni juhudi + bahati = Mafanikio.

Juhudi iweke constant , ila Unaweza ukawa umesoma na hujabahatika kupata kazi , au haujasoma ila ukabahatika kupata ishu itakayokufanya upate maisha Bora.

Kuacha kila kitu na kufanya betting pekee ndio mbaya.

Ila kama mtu unafanya ishu zako, na kubet kidogo, who knows, kuna siku utafanikiwa.
Na bet hela ambayo uko tayar kuipoteza.

Sasa ww hauBet ndio,
Lakin pia maendeleo huna,
Kila siku ni Bia na wanawake.

Yupi hapo ana afadhali?.
 
Mtoa mada Asante Kwa ushauri ila acha na wewe tukushauri, kwan Kuna mtu alikufata akakuomba Hela akabetie? Unampangiaje mwanaume mwenzio jinsi ya kutumia Hela aliyoipata Kwa jasho lake mwenyewe kwani we ni mke wake? Anyway Kila mtu afokasi na maisha yake , shauri vitu vya maana , Mimi nachojua kitu kibaya duniani ni kumfanyia mtu ubaya mfano kuiba au kutapeli pesa ya jasho ya mtu , kudhulumu, kubaka , kulawiti na kadhalika , Kwa ufupi betting ni halali na inatambulika na serikal labda ukawashauri wauza madawa ya kulevya na bangi ambayo wanaenda against na Sheria za nchi , ila mengine Wacha watu waishi wanavotaka ili mradi hawafanyi uhalifu Wala hawavunji Sheria za nchi na kibinadamu sio habari za kushauri mtu asinywe sijui bia mara asibeti mara hivi na Wala humpei pesa
 
unajua kuoa na kuolewa nayo ni bahati na sibu,,vip tuache!!?
 
Fikiria hivi ukipoteza hiyo 100K kwenye bet yako ya kwanza itabidi utumie 500K nyingine kwa 1.2 odds kurudisha hela yako 100K.

Hapo una-chase kurudisha hasara. Emotions zako ziko all over the place. Lazima uliwe kichwa.
ningekuwa mwalimu basi wewe ungekuwa mwanafunzi bora kabisa
 
Screenshot_20241220-133024_2.jpg
 
Naungga mkono hoja. Pia inaweza kukufanya uwe mtumia vilevi kupindukia kama pombe, bangi nk. Pamaja na umalaya mkubwa. Sababu kubwa ni ukipoteza pesa nyingi kwa wakati mmoja ni lazima upunguze machungu kwa aina moja au nyingine, mbadala wa kujiua unajizuru kwa namna nyingine.
Umetuona wajinga sana unaamua kutudanganya bila aibu
 
hahah nakuelewa vizuri na najua ilivyo ngumu kukubalia na mimi.
Mimi nimewahi kupata pesa nyingi sana kupitia betting(elewa ninaposema "nyingi")

Hapo juu nimezungumzia "bajeti" sijajiandikia tu kufurahisha msomaji!

betting ni ulimwengu mwingine kabisa tofauti na unavyodhani
Hizo pesa nyingi ulizozipata through betting na ukazichezea hizo ni akili zako na hazihusiani na betting
 
Leo siku ya pesa kwa wabetiji tia mzigo uamke tajiri jana nimempiga muhindi laki 3 kwa buku 2 tu what a genius betting.
 
Well Maisha hayako na mbinu moja ya kufanikiwa,
Ila Mara nyingi ni juhudi + bahati = Mafanikio.

Juhudi iweke constant , ila Unaweza ukawa umesoma na hujabahatika kupata kazi , au haujasoma ila ukabahatika kupata ishu itakayokufanya upate maisha Bora.

Kuacha kila kitu na kufanya betting pekee ndio mbaya.

Ila kama mtu unafanya ishu zako, na kubet kidogo, who knows, kuna siku utafanikiwa.
Na bet hela ambayo uko tayar kuipoteza.

Sasa ww hauBet ndio,
Lakin pia maendeleo huna,
Kila siku ni Bia na wanawake.

Yupi hapo ana afadhali?.
Umeongea vizuri sana mkuu.
 
Back
Top Bottom