Nakumbushia wakuu aliye na connection ya kazi ya ulinzi (kampuni/private personel) anisaidie

Nakumbushia wakuu aliye na connection ya kazi ya ulinzi (kampuni/private personel) anisaidie

Mkuu much know, unatufanya tujione wenye hatia kwa sababu ya u jobless, hujawahi pitia huu moto ina maana
Nimepitia huu moto kwa miaka zaidi ya mitatu mbaka nilivyochukua hatua maana mishe zote za ofisini nilikuwa Sina connection na baadhi ya michogo mingine ya kitumwa niliipiga chini naigia zangu kitaa kuwa dalali sokoni
 
Nimepitia huu moto kwa miaka zaidi ya mitatu mbaka nilivyochukua hatua maana mishe zote za ofisini nilikuwa Sina connection na baadhi ya michogo mingine ya kitumwa niliipiga chini naigia zangu kitaa kuwa dalali sokoni
Wakuu simu zinaita , prince mhando ana pepo yake hakika
mkuu kampuni gani wanachukua walinzi na mm nataka kupeleka maombi aliyokwambia brother prince mhando.
 
Wakuu simu zinaita , prince mhando ana pepo yake hakika
Asante sana Rafiki yangu...Mimi nakutakia mafanikio...ila Cha kukushauri kama hiyo JKT Yako sio ya mujibu...Ni wale wa kujitolea hakikisha unasoma fani ndogo ndogo...kama udereva...uchomeleaji au upakaji rangi...

Fani hizo zitakuongezea sifa ya kuajiliwa kwenye majeshi yetu.

Ukifanya vizuri kwenye hiyo kazi connection zipo nje nje...

Mimi ni mlinzi nilie amua kustaafu 🤣🤣🤣 ila amini nakwambia kupitia ulinzi Leo hii spika wa bunge ananifahamu japo hajanisaidia chochote🤣🤣🤣🤣

Nilishawahi kukutana uso kwa uso na aliekuwa IGP Simon Nyanghoro Sirro na Tip alinipa.

Niliwahi kukutana na waziri Wilium Rukuvi akiwa yeye na Familia yake huyu alinifanya niongeze Kasi ya kupambana maana eneo nililokuwepo alikuwa ananunua vitu vya bei mbaya bila kuomba discounts 🤣🤣🤣

Wasanii mbali mbali niliwahi kukutana nao na wengine Nina wasiliana nao hadi Leo.

Ila chanzo Cha kufahamiana na wote hao ni kazi ya ulinzi. Broh usikate tamaa itumie hiyo fursa kama daraja tu la kukuvusha...

Mwenyezi Mungu akupe hitaji la moyo wako, akupe matumaini na akuondolee machungu, ulionalo gumu liwe jepesi🙏🙏🙏🙏​
 
Asante sana Rafiki yangu...Mimi nakutakia mafanikio...ila Cha kukushauri kama hiyo JKT Yako sio ya mujibu...Ni wale wa kujitolea hakikisha unasoma fani ndogo ndogo...kama udereva...uchomeleaji au upakaji rangi...

Fani hizo zitakuongezea sifa ya kuajiliwa kwenye majeshi yetu.

Ukifanya vizuri kwenye hiyo kazi connection zipo nje nje...

Mimi ni mlinzi nilie amua kustaafu 🤣🤣🤣 ila amini nakwambia kupitia ulinzi Leo hii spika wa bunge ananifahamu japo hajanisaidia chochote🤣🤣🤣🤣

Nilishawahi kukutana uso kwa uso na aliekuwa IGP Simon Nyanghoro Sirro na Tip alinipa.

Niliwahi kukutana na waziri Wilium Rukuvi akiwa yeye na Familia yake huyu alinifanya niongeze Kasi ya kupambana maana eneo nililokuwepo alikuwa ananunua vitu vya bei mbaya bila kuomba discounts 🤣🤣🤣

Wasanii mbali mbali niliwahi kukutana nao na wengine Nina wasiliana nao hadi Leo.

Ila chanzo Cha kufahamiana na wote hao ni kazi ya ulinzi. Broh usikate tamaa itumie hiyo fursa kama daraja tu la kukuvusha...

Mwenyezi Mungu akupe hitaji la moyo wako, akupe matumaini na akuondolee machungu, ulionalo gumu liwe jepesi🙏🙏🙏🙏​
Asante sana kaka, mtaa umenichakaza mpaka basi 😂😂😂nmeamua kurudisha majeshi JF, naamini hii ni hatua kwangu 🙏🙏🙏
 
Asante sana kaka, mtaa umenichakaza mpaka basi 😂😂😂nmeamua kurudisha majeshi JF, naamini hii ni hatua kwangu 🙏🙏🙏
Japo jf ya Leo sio ya enzi hizo...zamani jf kulikuwa na vibopa wa kweli ukitangaza Nia ya kazi yoyote unapata. Ila siku hizi huu mtandao umeingiliwa na watu wanao kejeli Kila kitu...

 
Laki 4 biashara gani mkuu mana mm ninayo saba hapa nataka niichange ifike million 2 lakin kama Kuna biashara tentative naweka hela kaka. Nishauri
Zipo nyingi sana mkuu, but sijajua wewe ni mtu wa aina gani :-
1. Ni bishoo(born town) au
2. Mtafutaji

Nipe mwanga kwanza hapa
 
Ulinzi fanya kama daraja bila ivo utazeeka maskini umefanya miaka yote huna cha kujivunia bado utafanya miaka mingine bado utakuja tena, ukipata kazi itumie fufanya mambo mengine changamka , walinzi wanakuwa na acces katika sehem nzuri nzuri so tafuta taarifa zifqnyie kazi
 
Borntown endelea kuongeza mtaji ufike hata M3.5 hivi unaweza fanya kitu.
NB:
1. Hela siyo mtaji, mtaji ni watu,

2. Unaweza kuaza na mtaji mdogo, biashara ikakua au unaweza kuaza na mtaji mkubwa, biashara ikafa Mapema.
Ok sio kama sijawahi kufanya biashara mkuu. Mm nishakomaa kariakoo, nisahampiga mzigo mitumba hapo ilala. Nikajua una kitu kipya sana
 
PM yako IPI
Umefanya Jambo jema mkuu,
Wakuu asanteni kwa mioyo yenu ya kujitolea kunipa connection.
Sehem niliyoelekezwa wameshasitisha kupokea maombi,nmeambiwa kwamba waliopunguzwa ndo walikua kipaumbele kwao.
plz msinichoke #stow away,p/mhando .etc.. hata hao wanaosema mambo ya sokoni kuna taratibu zake 💪🙏🙏
 
Wakuu asanteni kwa mioyo yenu ya kujitolea kunipa connection.
Sehem niliyoelekezwa wameshasitisha kupokea maombi,nmeambiwa kwamba waliopunguzwa ndo walikua kipaumbele kwao.
plz msinichoke #stow away,p/mhando .etc.. hata hao wanaosema mambo ya sokoni kuna taratibu zake 💪🙏🙏
Ile Namba yako uliyoweka IPO WhatsApp?
 
Back
Top Bottom