Nakuomba Rais Samia kama unamjali Magufuli utoke hadharani na kukemea hiki kitabu cha Kabendera

Hili bomu linakwenda KUFUKUWA...kunawatu huko tumbo la kila sekunde TAYARI
 
Kama imekuuma nenda kashtaki 😁😁😁
 
Kwamba jiwe alienda na pajama ya kulalia kwa mama πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hii dunia...unaheshimishwa na mwanadamu..... Unahukumiwa na mwanadamu.....
Inafuatana na wewe mwenyewe uliishi vipi na wanadamu
 
nitumie hcho kitabu hapo
 
Acha ukweli ujulikane mnezoea sana kuficha mambo. Acha unyama alofanyiwa Samia ujulikane.
 

Aiseeh!

Sio ampeleke Kabendera Mahakamani kuthibitisha tuhuma hizo?
Na akishindwa achukuliwe hatua. Na ikibainika ni kweli watuhumiwa waliobakia wafikishwe sehemu stahiki
 
Tuwe na.moyo.wa.kusikia tusiyoyapenda huo ndio utu uzima na uungwana
 
Aiseeh!

Sio ampeleke Kabendera Mahakamani kuthibitisha tuhuma hizo?
Na akishindwa achukuliwe hatua. Na ikibainika ni kweli watuhumiwa waliobakia wafikishwe sehemu stahiki
Huyo jamaa labda kachanganyikiwa au kaagizwa? Maana..
 
Rais hafanyi kazi based on hisia za watu na rumors
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…