Nakuomba tuliza Akili yako na niambie kwa hii Kauli ya Mke Mbichi wa Aziz K Poti wangu Hamisa Mobeto umegundua nini kilichojificha?

Acha ujinga mzee. Azizi kijana wa bush. Kumpata binti wa Town kama yule ni ufahari kwake. Kula meza moja na wakina Rick Rozeee si mchezo ingawa kuna kaujinga fulani. Acha kijana ale bata
Bata gani?
 
Yaan kama kuna mtu anamzunguka azizi k huyo hata stukiwa kirahisi mpaka pale azizi k atakapo staafu soka. Maana hiyo njemba inayo mla mobeto yeye kazi yake ni kucheki lineup ya yanga kama Mwamba kaanza na kikosi au yuko sub, wakisha thibitisha yuko kikosini na wao gemu yao inaanza baina ya hiyo njemba na Mobeto caros
 
Watoto wa Mjini na Wazee wa Taarifa Nyeti tunajua kuwa Boss wake Aziz K hapo alipo na anayemlipa mshahara anambandua huyo Mkewe Mbichi. Na bora apite nae kawaida ila Boss anajulikana sana kwa kupenda kupita 'Vumbi Road' hadi Wanawake wa Tabata Mawenzi hawana hamu nae.
 
EHS
 
Kwa hiyo wewe uliye naye ni wa peke yako? Jibu swali usikae kimya
 
Hivi yule ni binti au mama wa watoto wawili?!
Labda Mimi ndio sielewi maana ya neno binti.
Kwa sisi Wazee wa mwaka 47, yule bado yupo kwenye Rika la binti.

Maana akisema atupe mechi moja tu, hatumalizi bila Presha na kisukari kutupanda 😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…