Nakuomba tuliza kabisa Akili yako kisha tumia D mbili kama ulisoma Cuba au Israeli kama Mimi kisha sema hapa Waziri Gwajima kamaanisha nini hasa?

Nakuomba tuliza kabisa Akili yako kisha tumia D mbili kama ulisoma Cuba au Israeli kama Mimi kisha sema hapa Waziri Gwajima kamaanisha nini hasa?

Mheshimiwa Dr Gwajimad Haa Amefika Kwenye Thread Hii

Kumeanza Kuchangamka Sasa, Bila Shaka Arusha Nako Moto Moto
 
Nimeshafika nawaona tu hivi 😳😳😳, karibuni Arusha 8 Machi, kucheleeee
Mheshimiwa Waziri haujabakisha hata Mdogo wako wa Kike ili anipe pia Upendo wenu wa Kurithi kama ulionao kwa Mumeo ili nami GENTAMYCINE niupate kutoka Kwake?

Ni Wanawake wachache sana wenye Upendo wa dhati kama ulionao kwa Waume zao na kama wakikupenda kama umpendavyo Mumeo jua muda wowote Mzinga wa kuombwa Hela ya kulipa Vicoba unakaribia.
 
x.jpg
 
"Kokote alipo Laazizi wangu Advocate Gwajima
anisikie yeye ndiyo injinia wangu na saa kumi na mbili asubuhi kashanipigia simu na tumezungumza yanayotuhusu na ratiba zake nazijua na yeye zangu anazijua na najua watoto wangu wapo wapi.

Mume wangu kaona vipaji vyangu na mimi nimeona vyake tukashirikiana na kusaidiana, sina haja ya kuringa sababu mimi Waziri na yeye sio waziri.

Nikiwa nyumbani mimi ni Mama Vicky na navaa kitenge changu" Mhe. Dkt Dorothy Gwajima ni waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum.

Chanzo: JamiiForums

Kila nikirudia kusoma hiki alichokiandika hapa kuna mambo kama Matatu Matano hivi ninayaona. Mumewe aringe tu!!!
Haya yamekuja baada ya kupigwa spana na Ustadhi Rashid a.k.a Mkono wa Baunsa na Baba mkwe wake kuingilia.

Mama Vick akarudisha panga harani mwake ili kulinda ndoa, heshima na jina lake kwani alikatazwa hata kuitwa Gwajima. Sasa kawa mama Vick na Mrs. Gwajima kweli kweli. 😀😀😀😀😀

Chezea Shehe Rashid mzee wa fitina a.k.a Mkono wa Baunsa.
 
Kwa hiyo mama Gwajima alitamka hayo kwa sababu zipi?

Maana inaonesha ni kama alikuwa akijibu hoja au kutolea ufafanuzi jambo fulani
 
Back
Top Bottom