Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
- Thread starter
-
- #41
Kambaku ana nongwa kweli kweli 🤣Kwa elfu 10 unategemea kudumuje?
Mnatafutaga kudanganywa tu yaani
Nikuuzie yangu elfu 70 mkuu 🧐Niliwahi nunua kama hiyo 130k sijui kama ndo bei yake ama nilipigwa.
Yote Kwa yte hazidumu mkuu.sitarudia kuwaka zinawaka balaaa but betri kimeo sana.
Unawez kunionesha sampo? Au Croc?Bei zake ziko vipi?
Ni nadra sana mbongo kumsanua mtu machimbo ya kupiga hela kariakooHawazijui hizi
Imani ushatoka kabisaa torch 🔦 inawaka Hadi inakuunguza lkn haidumu sijui Zina shida Gani nilichukua 3. Zingine nikapeleka kijijn Kwa mzee wangu nikabaki na Moja ya kwangu ndo kidogo Ili duma dumu kiaina.Nikuuzie yangu elfu 70 mkuu 🧐
Imani ushatoka kabisaa torch 🔦 inawaka Hadi inakuunguza lkn haidumu sijui Zina shida Gani nilichukua 3. Zingine nikapeleka kijijn Kwa mzee wangu nikabaki na Moja ya kwangu ndo kidogo Ili duma dumu kiaina.
Nahitaji Google pixel 6pro nilinunua 4a screen ikaharibika nikaambiwa bila270k nikanye nikalale Hadi Sasa ipo Kwa beg tu nasikilizia
Hizi code Wanashikilia wachache na wanapiga hela kimya kimyaNi nadra sana mbongo kumsanua mtu machimbo ya kupiga hela kariakoo
Hakuna kitu ni take away tu.zinadumu?
Glenn! I love youHakuna kitu ni take away tu.
Ubora na gharama ni mapacha.
Na ubovu na chee ni ndugu
Mjini shule.unauzia sinza unazipiga splash unaziweka kwenye boksi unauza laki na 70
Note it! Fika duka husika ujionee.. nashe na wadau mana leo nipo! Kuna siku sitakuwepo hapa.. nategemea kunufaika kupitia wengine. Haya mengine yapogo tuUbarikiwe sana, info yako moja tu worth a million shilling
Huu uzi baada ya kupata bei wadau wajikite hapa kujua namna ya kufungua pattern sasaMara nyingi/zote viatu vyeusi havichanganwyi na rangi nyingine.. hata converse huwaga hivyo. Ila hizi rangi nyingine ndo zinachanganywa. So nyeusi huwaga peke yake! Hivi huchanganywa na nyeupe na rangi nyingine
Hii hii ukiikuta kariakoo reja ni 25. Na kwq mchina huwez kupelekwa kirahis. So nimeandika hapa vijana wajiongeze! Ajira zipo ila zina wenyewe
Watu hawaamin tu.. kariakoo watu wanpiga hela bei aliyonunulia na faida inayoingia kama zinafanana kabisa. Converse elf 12 bei ya jumla lakin madukani nyeupe ni 25 mpaka 23. Ni mara mbili ya hela iliyowekwaMjini shule.
Au ile mitaa ya posta ndio bei zao.
Hii ina maana ganHuu uzi baada ya kupata bei wadau wajikite hapa kujua namna ya kufungua pattern sasa
Nikimeo?Hizo sim ukizitaja mkuu nachefukwa sana. Sina ham
Wajue code za lugha ya kuongea ili waelekezwe na kuuziwa kwa bei ya mfanyabiasharaHii ina maana gan
Spare zake expensive sana yani..Nikimeo?