Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikiwezekana tembea peku uwakomoeAisee mchina noma, kumbe mpaka New Balance amewafikia
Basi sivai tena hivi viatu
View attachment 3072831
View attachment 3072832
Ubaya ubwela kwa kwenda mbeleIkiwezekana tembea peku uwakomoe
Ngoja nifanye utalii wa ndaniWazee mpooo! Hiz raba mara ya mwisho tulipata tenda mwanza tukazituma. Kali sana na kuzugia zugia zinafaa
Size kuanzia 32 mpaka 43
Boksi zinakaa 24 na kila moja inauzwa elfu 10 kwa mchina so boksi lake ni 240k
Duka la mchina linapatikana mtaa wa Narungombe na Kongo (Kariakoo) na mchina mwenyewe anaitwa "MA HUWA" yuko floor ya kwanza.. ukifika mazingira hayo muulize machinga yoyt3 kuwq unaenda kwa mchina anaitwa "Maua"
Kuprint sio?Huu uzi wa moto..mtu alike comment yangu uzi usinipotee
Narung'ombe mtaa wa viatu jengo la kwanza ukitokea kituo Cha mwendokasiwapi chimbo lake
Nitakupa namba jtatu huwa napita huo mtaa kila siku nikiendaofsini kwanguChimbo la yebo yebo na vile vi ndala vya kina dada pamoja na bei zake tafadhali.
tumeshasubcribe kabisa, anzisha hata WhatsApp group mzeeNakuja na pochi kaliiiiiiiii.... duka litakuwa kinondoni hapo! Mzigo bado uko njian soon unafika bongo. Mtakubali wazeee 🔥🔥
Sawa bado bado mpaka mzigo ufiketumeshasubcribe kabisa, anzisha hata WhatsApp group mzee
Mashat kariakoo kibao mkuu nemda jengo moja linaitwa raha complex kariakoo muhonda na Raha. Pale chini utakutana na duka la jamaa wanaitwq Ylbchimbo la mashati classic yale ya cotton
Ndiyo, mkuu, Chimbo lake kariakoo ni mtaa gani au duka ganiKuprint sio?
Twist 6500
Sports elf 7
Unkut elf 9 feki original elf 16
Converse elf 13
Mchikichi complex. Hizi bidhaa mbona common sana kariakoo. Au nenda muhonda na Manyema pale kuna duk linaitwa Anojozee.. mitaa hiyo unapataNdiyo, mkuu, Chimbo lake kariakoo ni mtaa gani au duka gani
Amekuelekeza right?Mungu akutunze sanaaa...!!!
#YNWA
#YANGA_BINGWA
PoaNdioo
#YNWA