Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Acha bwanKule kondoa eeh, sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha bwanKule kondoa eeh, sawa
😅Acha bwan
Zipo hiwez KukosaSio hizo mkuu, kuna zile nimepita mnada mmoja wanauza 2500 mpaka 3500, sasa sijui wao wanachukulia bei gani.
Narung'ombe pale uliza kwa Sefu au Hong Kong duka la mwisho, wanauza jumla Sio reja rejaMpaji Mungu hiyo ya 12 inapatikana wapi kaka... Location kidogo
Unahitaj za biashara mkuu au matumizi? Mana biashara inaweza kuwa carton yani more than 20 pea namba tofautitofautiSendo Kama hii bei zake vipi?View attachment 3069008
Ila bei za jumla baada ya carton inaweza kuanzia pea 3 japo sijawah kupata nteja wa hizi. Ila kesho nitakuwa kariakoo nkikumbuka nitafatilia hil piaSendo Kama hii bei zake vipi?View attachment 3069008
Moja au carton?Mkuu Kalaga Baho Nongwa nifanyie wepesi niipate hii aseee ! Tunafanyaje chalii yangu
Naomba utoe maelekezo ya zoteMoja au carton?
Pale msimbazi kituo cha polisi kuna kagorofa flani hiv jamaa wanauzaga hiz. Hata pale Kongo na Muhonda kuja mshakaj anauzaga 35000 ingawa sijaingia huko muda nref sas. Weka picha za mikato mipya iliyo hot kwa sasa nioneMkuu Kalaga Baho Nongwa naomba kupata chimbo la cargo pants zile nzito original ambazo rejareja wanauza 55,000 hadi 50,000, Pia naomba na chimbo la cardet original zile nzito zisizochuja!
Natanguliza shukran
Unataka kufanya biashara ya hizi mkuu? Hatuwez kuongelea kila kitu hapa wazi tunaharibu biashara za watu mkuuNaomba utoe maelekezo ya zote
Hiyo kali sanaaa
Wazee mpooo! Hiz raba mara ya mwisho tulipata tenda mwanza tukazituma. Kali sana na kuzugia zugia zinafaa
Size kuanzia 32 mpaka 43
Boksi zinakaa 24 na kila moja inauzwa elfu 10 kwa mchina so boksi lake ni 240k
Duka la mchina linapatikana mtaa wa Narungombe na Kongo (Kariakoo) na mchina mwenyewe anaitwa "MA HUWA" yuko floor ya kwanza.. ukifika mazingira hayo muulize machinga yoyt3 kuwq unaenda kwa mchina anaitwa "Maua"
Moja tu mkuu Kalaga Baho NongwaMoja au carton?
Ndo namalizia malizia hapa bongo, maisha yamenishinda kabisa mazingira haya. Bahamian zanziba mazima mwez ujao!Nakukubali sana mzee wa chimbo msomi
Huna ubaya wala ubwela, piga kazi bingwa
Tuna vijana wana degree kama wewe lakini wanajiona keki hawataki kujishughulisha
SawaHIZI KALI? DAAAAH. HAMNA KITU HAPO. HATA UKINIPA NA PESA SIVAI.