Nakupa chimbo la raba hii Kariakoo, elfu 10 tu bei ya jumla

Nakupa chimbo la raba hii Kariakoo, elfu 10 tu bei ya jumla

Sendo Kama hii bei zake vipi?
IMG_20240621_124046.jpg
 
Mkuu Kalaga Baho Nongwa naomba kupata chimbo la cargo pants zile nzito original ambazo rejareja wanauza 55,000 hadi 50,000, Pia naomba na chimbo la cardet original zile nzito zisizochuja!

Natanguliza shukran
Pale msimbazi kituo cha polisi kuna kagorofa flani hiv jamaa wanauzaga hiz. Hata pale Kongo na Muhonda kuja mshakaj anauzaga 35000 ingawa sijaingia huko muda nref sas. Weka picha za mikato mipya iliyo hot kwa sasa nione

Ushauri: kwa nn usiagize hiz mana China bei yake nzur tu
 
Wazee mpooo! Hiz raba mara ya mwisho tulipata tenda mwanza tukazituma. Kali sana na kuzugia zugia zinafaa

Size kuanzia 32 mpaka 43
Boksi zinakaa 24 na kila moja inauzwa elfu 10 kwa mchina so boksi lake ni 240k

Duka la mchina linapatikana mtaa wa Narungombe na Kongo (Kariakoo) na mchina mwenyewe anaitwa "MA HUWA" yuko floor ya kwanza.. ukifika mazingira hayo muulize machinga yoyt3 kuwq unaenda kwa mchina anaitwa "Maua"

HIZI KALI? DAAAAH. HAMNA KITU HAPO. HATA UKINIPA NA PESA SIVAI.
 
Nakukubali sana mzee wa chimbo msomi
Huna ubaya wala ubwela, piga kazi bingwa
Tuna vijana wana degree kama wewe lakini wanajiona keki hawataki kujishughulisha
Ndo namalizia malizia hapa bongo, maisha yamenishinda kabisa mazingira haya. Bahamian zanziba mazima mwez ujao!
 
Back
Top Bottom