Nakupa chimbo la raba hii Kariakoo, elfu 10 tu bei ya jumla

Nakupa chimbo la raba hii Kariakoo, elfu 10 tu bei ya jumla

Mm pia nasubiria maelekezo juu ya ili swali ila kuna watu hapo wanajadili sijui ishu gan tunakosa ht mtililiko mzuri wa mada
chakii
Hizi ni bidhaa common sana mtaa wa kipata na Kongo, kipata na Nyamwezi. Kuna wasomali wengi wanauza hizi pale. Unaijua stendi ya bajaji zinazoenda kivukoni kutokea kariakoo?
 
Back
Top Bottom