Masaki road
Member
- Jul 16, 2020
- 52
- 86
Bado sijachelewaNenda shamba la bibi! Kariakok pale Msimbazi B mwendokas kuna ghorofa pale imeandikwa Hong Kong Hotel. Mkabala wake sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado sijachelewaNenda shamba la bibi! Kariakok pale Msimbazi B mwendokas kuna ghorofa pale imeandikwa Hong Kong Hotel. Mkabala wake sasa
Hujachelew nn mkuuBado sijachelewa
Kwenye hilo chimboHujachelew nn mkuu
Mna bei sana ninyi...Njoo elshaddai upate na pazia chief.
Mm pia nasubiria maelekezo juu ya ili swali ila kuna watu hapo wanajadili sijui ishu gan tunakosa ht mtililiko mzuri wa madaWazee wa machimbo tusaidiane machimbo ya rim paper za A4
Cheap up 3000 mtaani unauza 7000
Nenda mtaa wa Sofia kawawa mnazi mmoja kuleBelo Grade A mtumba wa nguo za kike (blouse) na Belo la mikoba ya mtumba (handbag) kwa kariakoo chimbo lake wapi mkuu
chakiiMm pia nasubiria maelekezo juu ya ili swali ila kuna watu hapo wanajadili sijui ishu gan tunakosa ht mtililiko mzuri wa mada
170k subutuInategemea mkuu, wengi watu kitu kikiwa na bei chini tunatia waswas kwenye ubora. Hiz ukiwa mfanyabiasara kama unauzia sinza unazipiga splash unaziweka kwenye boksi unauza laki na 70
Asante sana boss👊🤝Nenda mtaa wa Sofia kawawa mnazi mmoja kule
Unaufaham?Asante sana boss👊🤝
Hapa machinga complex dodoma, wahi chapWapi vipo afu tatu nije
sipafahamu atiHapa machinga complex dodoma, wahi chap
Upafahamuje kwenu?sipafahamu ati
sio kwetu bwanUpafahamuje kwenu?
Basi huko ndio kuna viatu vya afu tatu.sio kwetu bwan
Nitapitia nikiwa naenda kuleeeeBasi huko ndio kuna viatu vya afu tatu.
Kule kondoa eeh, sawaNitapitia nikiwa naenda kuleeee