Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Naunga mkono hoja 🤣😁Acha wapigwe kaka 😀,hamnaga new balace ya elfu 10
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja 🤣😁Acha wapigwe kaka 😀,hamnaga new balace ya elfu 10
Na hizi bidhaa za spare sijapat muda wa kuvalidate information zangu man ni muda kidogo sijazitafitMzee baba reply yako ya kushtukiza na inapatikana pale unapoguswa 😂!.
Dongeraraa reree hivi ni donge au UDOE?
Wasiliana na mpaji mungu ndo anashinda mitaa hiyocopy zake naomba chimbo
Mkuu namba ya hizi bidhaa pleaseNitakupa namba jtatu huwa napita huo mtaa kila siku nikiendaofsini kwangu
Nilisahau mkuu naomba Kesho saa nne nicheki hata pmMkuu namba ya hizi bidhaa please
Haya mambo ukisimuliwa unaweza ona utani, ground mambo ndio yalivyo mkuuYaan elf 10 iende mpaka laki na 70? Watu sio wajinga mkuu
Infinix smart 7 unaiuzajeKwa chimbo la vifaa vya simu
Charger,glass protector iPods etc nicheki .
Tuelekeze machimbo mengine sasa mbadala wa kariakooNimeogopa kusema hivyo pale mwanzo, afadhali ww umesema!!
Kariakoo kwa miaka hii sio sehemu ya kununua nguo au viatu kama kweli quality is your first priority.
Mkuu hii ulifatilia? Unaweza angusha mrejesho kaka?Ila bei za jumla baada ya carton inaweza kuanzia pea 3 japo sijawah kupata nteja wa hizi. Ila kesho nitakuwa kariakoo nkikumbuka nitafatilia hil pia
Siuzi simu ila Kesho nitakuchekia kwa mchina anauza bei nafuu kama anazo mkuuInfinix smart 7 unaiuzaje
Namba yakoTufanye hivi WA mikoani ukiitaji kitu nitafute nitakutumia kwa uaminifu mno.nitakutafutia chimbo la quality na bei nafuu.
Kama uko serious njoo pm.
Nina mambo yangu mengi ila nimeona wengi wanalalamika wanaoogopa kuutapeliwa.