Nakupa chimbo la raba hii Kariakoo, elfu 10 tu bei ya jumla

Nakupa chimbo la raba hii Kariakoo, elfu 10 tu bei ya jumla

Screenshot_20240819-184940.png
Screenshot_20240819-185012_1.jpg
 
Nimeogopa kusema hivyo pale mwanzo, afadhali ww umesema!!
Kariakoo kwa miaka hii sio sehemu ya kununua nguo au viatu kama kweli quality is your first priority.
Tuelekeze machimbo mengine sasa mbadala wa kariakoo
 
Tufanye hivi WA mikoani ukiitaji kitu nitafute nitakutumia kwa uaminifu mno.nitakutafutia chimbo la quality na bei nafuu.
Kama uko serious njoo pm.
Nina mambo yangu mengi ila nimeona wengi wanalalamika wanaoogopa kuutapeliwa.
 
Tufanye hivi WA mikoani ukiitaji kitu nitafute nitakutumia kwa uaminifu mno.nitakutafutia chimbo la quality na bei nafuu.
Kama uko serious njoo pm.
Nina mambo yangu mengi ila nimeona wengi wanalalamika wanaoogopa kuutapeliwa.
Namba yako
 
Back
Top Bottom