Mimi nina idea fulani ya kutengeneza application ambayo naamini nikipata mtaalam kwa ku develop tukafanya presentation kwenye wizara fulani legwa tutapiga pesa....developer anaweza nichek
Mtu anayekula hizi pombe za uchochoroni za 2000 au za kupima kwa 1000 anaweza kula nyama choma? Bia na nyama ni marafiki wa kudumu. Bia Zinauzwa sehemu kunakopatikana nyama. Sio hizi pombe za uchochoroni. Na hizi zimetengenezwa kwa ajili ya wale watu wasiokuwa na kipato. Yaani ni gongo inayouzwa gadharani.
Ukishapata mwekezaji na mkatengeneza hiyo pombe, mimi nitakuwa supplier wenu wa kwanza kabisaaa.
Nina miliki kampuni ambayo moja wapo ya kazi yake ni usambazaji wa pombe.
Mimi nina idea fulani ya kutengeneza application ambayo naamini nikipata mtaalam kwa ku develop tukafanya presentation kwenye wizara fulani legwa tutapiga pesa....developer anaweza nichek